Recent content by Erick the future

  1. E

    Msaada FOREX

    Whatsapp me 0714132075
  2. E

    USISAHAU: TZS 1.5trilioni hazina maelezo. TRA wamedanganya trilioni 2.2 makusanyo mwaka 2016/17

    Kwa ufupi sana... In 1999 Kabwe joined the University of Dar es Salaam and earned a Bachelor of Arts degree in Economics in 2003. After working for 6 years, Zitto enrolled at Bucerius Law School located in Hamburg, Germany where he graduated with a Master of Law and Business degree (MLB) in 2010.
  3. E

    Kwanini sauti ya Diamond Live ni mbaya lakini nzuri kwenye nyimbo tofauti?

    Sikia kwa nijuavyo mie kwa wasanii, hasa katika ishu ya mashairi wao wana kitu wanaita POETIC LICENSE.. Yani badala ya kusema aliniambia, au unanitekenya, wao wanaruhusiwa kusema labda unaitekenyaga, alinimbiaga ili kuleta usawa katika vina na mizani... Umenipata?
  4. E

    NICKON 3000D FOR SALE

    Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious.... Unaweza kunicheki whatsapp 0714132075
  5. E

    NICKON CAMERA 3000D FOR SALE...

    Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious.... Unaweza kunicheki whatsapp 0714132075
  6. E

    Wizara ya elimu mama Ndalichako sikia haya

    Umetoa jibu rahisi sana kwenye suala gumu.... Naheshimu mawazo yangi, ingawaje!
  7. E

    Taarifa kwa uma kutoka serikali ya wanafunzi UDSM

    So sa yani... Seriously inasikitisha mazeee... Sio ya kuichukulia poaa kabisa hii
  8. E

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    hahahaah.... Ni shida ndugu, itabidi na wewe uwalipe kama utakavyo
  9. E

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Swali langu kwa bodi ya mikopo, naona hizo pesa mnatukopesha kama mtakavyo....Na sie mtuache wakati wa kurudisha turudishe TUTAKAVYOOOOOOOOOOOOOO!.. Maana hamna namna...
  10. E

    Samsung galaxy note 3 inauzwa bei chee

    Kwa yeyote anaehitaji smartphone.. Kuna samsung galaxy note 3 inauzwa, iko katika hali nzuri sana, Bei ni 300,000.......Bei inaweza ikapungua.... Kwa yeyote anaehitaji, whatsapp 0714132075..
  11. E

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Inafahamika kabisa kwamba mwanafunzi aliefaulu kutoka diploma au high school kwenda chuo atahitajika ku apply mkopo ili uje kumsaidia katika school fees, accomodation na mambo mengine kama hayo. Na katika wanafunzi wanaofanikiwa kufaulu kwenda chuo huwa ni wote, nikimaanisha kuwa awe wa arts...
Back
Top Bottom