Kwa ufupi sana...
In 1999 Kabwe joined the University of Dar es Salaam and earned a Bachelor of Arts degree in Economics in 2003. After working for 6 years, Zitto enrolled at Bucerius Law School located in Hamburg, Germany where he graduated with a Master of Law and Business degree (MLB) in 2010.
Sikia kwa nijuavyo mie kwa wasanii, hasa katika ishu ya mashairi wao wana kitu wanaita POETIC LICENSE.. Yani badala ya kusema aliniambia, au unanitekenya, wao wanaruhusiwa kusema labda unaitekenyaga, alinimbiaga ili kuleta usawa katika vina na mizani... Umenipata?
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious.... Unaweza kunicheki whatsapp 0714132075
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious.... Unaweza kunicheki whatsapp 0714132075
Swali langu kwa bodi ya mikopo, naona hizo pesa mnatukopesha kama mtakavyo....Na sie mtuache wakati wa kurudisha turudishe TUTAKAVYOOOOOOOOOOOOOO!.. Maana hamna namna...
Kwa yeyote anaehitaji smartphone.. Kuna samsung galaxy note 3 inauzwa, iko katika hali nzuri sana, Bei ni 300,000.......Bei inaweza ikapungua.... Kwa yeyote anaehitaji, whatsapp 0714132075..
Inafahamika kabisa kwamba mwanafunzi aliefaulu kutoka diploma au high school kwenda chuo atahitajika ku apply mkopo ili uje kumsaidia katika school fees, accomodation na mambo mengine kama hayo. Na katika wanafunzi wanaofanikiwa kufaulu kwenda chuo huwa ni wote, nikimaanisha kuwa awe wa arts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.