Recent content by Erick Kalemela

  1. Erick Kalemela

    Naomba uongozo wa kupima DNA ya mtoto

    Kwa hapa Bongo utahangaika tu Ebu nenda Kenya Hospital ya Nairobi upime na kurudi na majibu, hakuna usumbufu wala masharti mengi.
  2. Erick Kalemela

    Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  3. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Mimi sina tatizo sana na wenye mashaka Na kuhusiana na hilo Serikali imepiga hatua kubwa Wenye mashamba wanapata haki yao bila shida. Na kwa mjibu wa sheria hata kama uko na PML Lazima mkae chini na mwenye shamba mkubaliane Na hata msingi wa hoja zangu Ni; 1. Mfumo wa utoaji wa Leseni hasa...
  4. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Hoja yako haina mashiko ndugu Lete hoja hapa mezani tuijadili. Sheria yoyote ya Tanzania inatakiwa iangalie maslahi mapana ya Taifa. Lakini pia Serikali inao wajibu wakuwaelimisha Wananchi kuhusiana na sheria mbalimbali. Je, ni wangapi wenye Leseni za Utafiti wamezifungia Kabatini tu! Je...
  5. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Nimalizie kwa kusema kuwa Tunao viongozi wa vijiji,pamoja na kata Lakini pia tunavyombo vya Dola vyenye watu waadilifu, ukiondoa mapungufu ya watumishi wake wachache Tuvitumie vyombo hivi kiuchumi Ikiwemo sehemu za migodi ya wachimbaji wadogo. Kipindi mgodi umechanganya kuna siku moja nimewahi...
  6. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Ushauri wangu kwa Mheshimiwa Raisi Mama Samia. **Atutembelee wachimbaji wadogo site kabisa tuweze kutoa maoni yetu lakini pia ushauri wetu, aweze kusikiliza kero zetu pamoja na malalamiko yetu ****Baada yakututembelea atachukua majina ya wachimbaji kabisa wachache kila mgodi kwa niaba ya...
  7. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Lakini pia kuna kitu kinaitwa Usimamizi Upande wa migodi yawachimbaji wadogo wa madini ya Dhahabu Haya mambo mimi nilitegemea kuwa yangefanyika miaka 1960 ni ajabu kubwa mno kuona yakifanyika hata baada ya miaka 50 ya Uhuru. Iko hivi mgodi wa wachimbaji wadogo wa Dhahabu ukigundulika mara...
  8. Erick Kalemela

    Nani wapo nyuma ya leseni vamizi za madini Jimbo la Mbogwe baada ya Hayati Magufuli kufariki? Je, Biteko umenunulika au ni shinikizo juu yako?

    Pamoja na Juhudi kubwa zilizofikiwa na Serikali ktk Sekta ya Madini mimi naomba nikiri kuwa Bado kuna changamoto kubwa mno, Bahati nzuri nimezaliwa katika familia ya Wachimbaji wa madini ya Dhahabu Nimekulia ktk familia hiyo Mungu sio Athmani Mwaka 2019 Shamba la Baba yangu Mzazi...
  9. Erick Kalemela

    Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

    [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
  10. Erick Kalemela

    Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

    Itatolewa na Mamlaka husika
  11. Erick Kalemela

    Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

    Kuna Jamaa yngu yeye alikuwa kwenye Bus la Ally's amekuta ajali ya Bus la Takbiir linalofanya safari zake kati ya Geita na Dar es salaam likiwa limepata ajali Mkoani Singida, kona ya Hingu Kama una ndugu au Jamaa ambaye alikuwa anasafiri leo naomba ufanye mawasiliano. Bus lilikuwa linatoka...
Back
Top Bottom