RAV4 ndiyo gari bora ya muda wote kwa watu wa kipato cha kawaida.
Wakuu Kwa DHATI naomba mwenye kuijua vema hii gari,,Mafuta inatumiaje,(Lt per km), Spea zake ,AC(how good it is), kwa kifupi faida na hasara zake kwa hii gari,,,
Naomba saana,,
Mwishowe kwa Mil 10 naweza pata namba D???
Fuel consumption haiangalii KMS maana maeneo ya Mjini gari ipo foleni (haitembei) Ila wese kama kawa.Chukua Mkuu average ni 10 Kms Kwa 1 litre
Ukijichanganya ukanunua gari kwa Dalali TZ utalia. Agiza mwenyewePrice?