Naomba uongozo wa kupima DNA ya mtoto

Naomba uongozo wa kupima DNA ya mtoto

Mamserenger

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2019
Posts
1,156
Reaction score
2,115
Wakubwa naombeni kujua Muongozo wa kupima DNA ya mtoto.

Mtoto huyu kwa tabia ya kuudhi ya mama mtu tumekuwa tukimuhudumia wa baba wawili. Baada ya kujulikana ukweli naona anakimbilia kuliko kuzuri.

Naomba kujuzwa kuwa utaratibu ukoje hospital za Government ama Hospital za Private.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kumekucha... Ngoja waje kukupa muongozo...
 
Nenda hospital ya RUFAA YOYOTE Jaribu kuwauliza watakupa muongozo na hatua za kufata ila ujiandae kisaikolojia
 
Wakubwa naombeni kujua Muongozo wa kupima DNA ya mtoto.

Mtoto huyu kwa tabia ya kuudhi ya mama mtu tumekuwa tukimuhudumia wa baba wawili. Baada ya kujulikana ukweli naona anakimbilia kuliko kuzuri.

Naomba kujuzwa kuwa utaratibu ukoje hospital za Government ama Hospital za Private.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Anzia sehemu hizi:
1: Mahakamani
2: Ofisi ya wanasheri /mwanasheria
3: Kanisani au msikitini
 
Wakubwa naombeni kujua Muongozo wa kupima DNA ya mtoto.

Mtoto huyu kwa tabia ya kuudhi ya mama mtu tumekuwa tukimuhudumia wa baba wawili. Baada ya kujulikana ukweli naona anakimbilia kuliko kuzuri.

Naomba kujuzwa kuwa utaratibu ukoje hospital za Government ama Hospital za Private.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu muongozo upo katika hatua mbili utamua wewe IPO uifuate

1.unaweza kufika mahakamn na kufungua shaur ukilalamika mtoto siyo wako utatoa sababu zako na wakati wa usikilizwaji wa shaur utaiomba mahakamn itoe order mpkapimwe DNA yako na mtoto.

2.unaweza kufika ofisi za mkemia mkuu wa serikali ama hospital hasa hospital kubwa ambayo vinavipimo vya DNA nakutoa sababu zako zakutaka upimwe DNA. hapa utalipia garama isiyopungua lak 300,000 then utasubr majibu na utapatikiwa ikiwa hoja zako ulizowapatikia zitakuwa nizamsingi[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]KILA kher katika kufanya maamuz hayo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu muongozo upo katika hatua mbili utamua wewe IPO uifuate

1.unaweza kufika mahakamn na kufungua shaur ukilalamika mtoto siyo wako utatoa sababu zako na wakati wa usikilizwaji wa shaur utaiomba mahakamn itoe order mpkapimwe DNA yako na mtoto.

2.unaweza kufika ofisi za mkemia mkuu wa serikali ama hospital hasa hospital kubwa ambayo vinavipimo vya DNA nakutoa sababu zako zakutaka upimwe DNA. hapa utalipia garama isiyopungua lak 300,000 then utasubr majibu na utapatikiwa ikiwa hoja zako ulizowapatikia zitakuwa nizamsingi[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]KILA kher katika kufanya maamuz hayo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app


Shs 300,000/=, kweli Africa ni shida sana, kupima DNA tu imekuwa anasa?!!
 
Pia nakushauri utembelee youtube kwa Judge Lauren Lake (Paternity Court) ili uweze kujitayarisha kisaikolojia pale jibu linapokuwa ndiyo au siyo.
 
Kwa hapa Bongo utahangaika tu
Ebu nenda Kenya Hospital ya Nairobi upime na kurudi na majibu, hakuna usumbufu wala masharti mengi.
 
Wakubwa naombeni kujua Muongozo wa kupima DNA ya mtoto.

Mtoto huyu kwa tabia ya kuudhi ya mama mtu tumekuwa tukimuhudumia wa baba wawili. Baada ya kujulikana ukweli naona anakimbilia kuliko kuzuri.

Naomba kujuzwa kuwa utaratibu ukoje hospital za Government ama Hospital za Private.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Tegemea baba mwenye maisha mazuri ndio ataambiwa huyu mtoto ni wako wako
 
Back
Top Bottom