Wadau! Walioko ubungo Riverside na kibangu yote (kwa mzee wa upako) hii sasa ni kero jamn kila wakati mgao sehemu hii tu hasa wakati wa usiku? Ama kuna siri gani nyuma ya pazia?
Sasa najiuliza hii ubungo ni kubwa sana lakin eneo moja tu kila wakati tena usiku? Nikero kwasababu kwa mazingira...
Hello!
Habari za usiku wakuu, poleni na hongereni kwa mapambano ya kila siku.
Leo nimekuja kwenye jukwaa hili niombe ushauri ambao unaweza ukanisaidia mimi na watakaokuja huko baadae.
Mimi ni kijana umri miaka 24 elimu yangu niyakawaida tu baada ya secondary chuo cha umeme (VTC) na kwabahati...
Habari ndugu zangu...
Nahitaji boss wakunipa gari yake niendeshe nimletee hesabu.
Naahidi tutaenda vizuri tu wala aside na wasiwasi.
Napatikana kerege chama ipo mkoa wa pwani nje kidogo ya mkoa wa Dar es Salaam
Tuwasiliane whatsapp 0679194505
Habari za jioni waungwana.
Kama nilivyoeleza hapo juu kwenye heading hio, Nimefanya kazi zote hizo kwa muda tofauti tofauti na bado hahusika nazo mpaka Sasa.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa kampuni, shirika, mtu binafsi atakayeweza/kuwa tayari kufanya kazi na mimi.
Napatikana mkoa wa...
Habari, naitwa Ephraim nikijana mdogo nimetoka VETA miaka miwili nyuma natamani nifanye biashara ya kuuza VIFAA VYA umeme Maana ndio taaluma niliyosoma kwa ngazi ya cheti Na level III.
Pia Ni fundi mzuri naweza kufunga wiring ya nyumba vizuri from the scratch mpaka finishing.
Changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.