Recent content by ENWYO

  1. ENWYO

    Back to the school

    Nakumbuka niliitwa assemble ili nitoe morning speech,nikachikichia mitini; Kasulu sec mpoooo!
  2. ENWYO

    Pombe na wanawake chepi ni chanzo cha humasikini?

    Umasikini unajiletea mwenyewe;maana wanawake unawafuata mwenyewe then pombe unaifuata mwenyewe baa.
  3. ENWYO

    Matumizi ya neno ''Mheshimiwa'' kwa viongozi wenye nyadhifa

    Ndg wana njanvini ni mda sasa nimekuwa nikitafakari na kutafakuri juu ya jina ili adimu MHESHIMIWA(Mh.)Maranyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari,bungeni,ata sehemu yeyote ile Mbunge yeyote anapotajwa shart lianzwe neno Mheshimiwa( Mh),Je neno ili lipo kikatiba nakama ni kikatiba ni kifungu...
  4. ENWYO

    Matumizi ya neno ''Mheshimiwa'' kwa viongozi wenye nyadhifa

    Ndg,wana njavini ni mda sasa nimekuwa nikitafakari na kutafakuri juu ya jina ili adimu MHESHIMIWA(Mh.)Maranyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari,bungeni,ata sehemu yeyote ile Mbunge yeyote anapotajwa shart lianzwe neno Mheshimiwa( Mh),Je neno ili lipo kikatiba nakama ni kikatiba ni kifungu...
  5. ENWYO

    Ninafanye nini nioe?

    Ndege wenye tabia moja uruka pamoja.Bado wewe haujapata ndege unayefanana naye kitabia,Angalia usikosee njia maana unaweza kuwa mwanafalsafa.
  6. ENWYO

    Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

    Dhambi ni nini? Ni kumtendea mwenzako usichotaka ata wewe utendewe. Mkuu kama unafikiri kuua mwenzako eti ni ushujaa kwa mungu,tambua moto unakungoja kwa hamu.Yakaizali mpe kaizali na yamungu mpe mungu,Ni ndoto kaizali kuudumia mahakama ya kidini.
  7. ENWYO

    Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

    Dhambi ni nini? Ni kumtendea mwenzako usichotaka ata wewe utendewe. Mkuu kama unafikiri kuua mwenzako eti ni ushujaa kwa mungu,tambua moto unakungoja kwa hamu.Yakaizali mpe kaizali na yamungu mpe mungu,Ni ndoto kaizali kuudumia mahakama ya dini.
  8. ENWYO

    Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

    Teh,teh,teh,kwi,kwi,ninooooooma.
  9. ENWYO

    Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

    Wanapigania mahakama ya KADH badala ya ELIMU,Mwisho wa siku wanataka vyeo na nyazifa za juu zitolewe kiuwiani bila kujali Elimu.
  10. ENWYO

    Kamishna Ernest Mangu ateuliwa kuwa IGP mpya

    we need postive changes to police officers and community, not propaganda,We wish you good responsibilitiez,comitement & transparence.
  11. ENWYO

    Ni makabila gani hapa tanzania yanaongoza kwa elimu ya juu.

    Wengi wenu mmeshindwa kufikia malengo;sio kwasababu hamtaki raha sha;ni kushindwa kujua wale wananini na sisi tuwe na nini ili tutegemeane;ukijua utawapa wengine ambao hawajakipata Do good avoid evil.
  12. ENWYO

    Ni makabila gani hapa tanzania yanaongoza kwa elimu ya juu.

    Jitambue chukuwa atua;sio misifa mkuu wakifanya vizuri wape eshima zao Education can not make us all to be the leader but can make us all to tell the leader what they suppose to do.
Back
Top Bottom