Ndg wana njanvini ni mda sasa nimekuwa nikitafakari na kutafakuri juu ya jina ili adimu MHESHIMIWA(Mh.)Maranyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari,bungeni,ata sehemu yeyote ile Mbunge yeyote anapotajwa shart lianzwe neno Mheshimiwa( Mh),Je neno ili lipo kikatiba nakama ni kikatiba ni kifungu...
Ndg,wana njavini ni mda sasa nimekuwa nikitafakari na kutafakuri juu ya jina ili adimu MHESHIMIWA(Mh.)Maranyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari,bungeni,ata sehemu yeyote ile Mbunge yeyote anapotajwa shart lianzwe neno Mheshimiwa( Mh),Je neno ili lipo kikatiba nakama ni kikatiba ni kifungu...
Dhambi ni nini? Ni kumtendea mwenzako usichotaka ata wewe utendewe. Mkuu kama unafikiri kuua mwenzako eti ni ushujaa kwa mungu,tambua moto unakungoja kwa hamu.Yakaizali mpe kaizali na yamungu mpe mungu,Ni ndoto kaizali kuudumia mahakama ya kidini.
Dhambi ni nini? Ni kumtendea mwenzako usichotaka ata wewe utendewe. Mkuu kama unafikiri kuua mwenzako eti ni ushujaa kwa mungu,tambua moto unakungoja kwa hamu.Yakaizali mpe kaizali na yamungu mpe mungu,Ni ndoto kaizali kuudumia mahakama ya dini.
Wengi wenu mmeshindwa kufikia malengo;sio kwasababu hamtaki raha sha;ni kushindwa kujua wale wananini na sisi tuwe na nini ili tutegemeane;ukijua utawapa wengine ambao hawajakipata
Do good avoid evil.
Jitambue chukuwa atua;sio misifa mkuu wakifanya vizuri wape eshima zao
Education can not make us all to be the leader but can make us all to tell the leader what they suppose to do.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.