Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Hata mimi nilimshangaa Nkamia kuwaita wenzake MBWA! Halafu alipoombwa kufuta kauli akasema uelewa mdogo wa Mbunge Machali, eti Kiswahili kinampa shida Machali ndo maana hajamwelewa Nkamia alimaanisha nini? Hivi Nkamia na Machali nani kaenda Shule jamani?
Naomba nikiri kwamba Nkamia nimemfuta kwenye orodha ya watu, huyo ni kiatu!!!
Naomba nikiri kwamba Nkamia nimemfuta kwenye orodha ya watu, huyo ni kiatu!!!