Mkuu usiangalie hiyo exchange rate kwenye sign board, juzi mi nilifanya transfer Singapore lakini pesa iliyokatwa ni nyingi kuliko ile inayoonyesha.
Mi nafikiri Kuna hidden charges au rate zao ni tofauti na wanayoweka kwenye kibao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.