master09
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 808
- 559
Habari JF.
Kwamtazamo wangu wengi tunaogopa kuagiza vitu kutoka hizi sites kama AliExpress,ebay,Amazon n.k
Baada ya kusoma nyuzi nyingi hasa za Mwl.RCT basi namimi nikaona nijaribu.
1.Nilianza na kufungua Sanduku la Posta .
2.Kufungua Account ya Bank Nitakayo tumia kufanya manunuzi hayo .
3.Application ya AliExpress kwangu mimi.
Baada ya kupata Sanduku la Posta nikafanya research hasa kwa kupitia nyuzi humu Bank nzuri yakufanya manunuzi option zikawa mbili Access Bank na Equity Bank upande wangu nikaona Equity Bank na kufungua account Equity Bank ilikuwa siku moja napata card ya visa na fomu ya kuruhusu online transactions nilijaza sikuhiyohiyo baada ya siku mbili nikapigiwa simu kama kila kitu kiko sawa naweza fanya manunuzi.
Basi kwa mara ya kwanza tar 30 june 2019 nikajaribu card kwa kununua screwdriver ya vitu vya electronics .
N.B
Nitaendelea kutoa Update mpaka pale mzigo utakapo fika .....mpaka sasa sijapata kikwazo sehemu yeyote
UPDATE:
Tarehe 30 june 2019 order ilikuwa received na baada ya siku nne yaani leo tar 4 july 2019 mzigo umekuwa dispatched ....utafika Dar around 28 july mpaka 22 august 2019.
Kwamtazamo wangu wengi tunaogopa kuagiza vitu kutoka hizi sites kama AliExpress,ebay,Amazon n.k
Baada ya kusoma nyuzi nyingi hasa za Mwl.RCT basi namimi nikaona nijaribu.
1.Nilianza na kufungua Sanduku la Posta .
2.Kufungua Account ya Bank Nitakayo tumia kufanya manunuzi hayo .
3.Application ya AliExpress kwangu mimi.
Baada ya kupata Sanduku la Posta nikafanya research hasa kwa kupitia nyuzi humu Bank nzuri yakufanya manunuzi option zikawa mbili Access Bank na Equity Bank upande wangu nikaona Equity Bank na kufungua account Equity Bank ilikuwa siku moja napata card ya visa na fomu ya kuruhusu online transactions nilijaza sikuhiyohiyo baada ya siku mbili nikapigiwa simu kama kila kitu kiko sawa naweza fanya manunuzi.
Basi kwa mara ya kwanza tar 30 june 2019 nikajaribu card kwa kununua screwdriver ya vitu vya electronics .
N.B
Nitaendelea kutoa Update mpaka pale mzigo utakapo fika .....mpaka sasa sijapata kikwazo sehemu yeyote
UPDATE:
Tarehe 30 june 2019 order ilikuwa received na baada ya siku nne yaani leo tar 4 july 2019 mzigo umekuwa dispatched ....utafika Dar around 28 july mpaka 22 august 2019.