Utakuwa umesahau ile Rap ya kwanza kuwika Tanzania. Kama sijasahau iliimbwa na Mzanzibar kwa jina Jabir. Ilikuwa na kibwagizo "Sitapenda wengi kama Maumba" Ilikuwa hit moja kali sana zaidi ya vigogo wa dunia enzi hizo Chaka Demus & Shaba Ranks
Hii hali na maandalizi ya askari katika uwanja wa Taifa yanatoa tafsiri tata.
Haieleweki ni washabiki wataangalia mchezo wa mpira au vita kati ya majeshi yetu na adui asiyejulikana.
Maandalizi ya majeshi yanaonekana kuwa ya juu zaidi kuliko hata timu zilizopangiwa kucheza mechi leo...
Kula [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Mie nilitaka kumuuliza vipi je kama mshauriwa ndiye anawashauri washauri wake?
Hapo unadhani ushauri wa washauri utafanyiwa kazi na washauri watakuwa na maana yoyote?
List of shame was purely composed and announced on political background. Mambo ya kisiasa si sawa na mambo ya Kiutawala. Ya kisiasa yanajibiwa na kumalizwa kisiasa.
Waliotajwa kwenye list of shame walitakiwa wawajibike kisiasa au wajisafishe. Hakuna aliyetakiwa afike Kituo cha Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.