Wangapi mtakuwa tayari kunisaport kwa kuitangaza kwa vijana ili waweze kuitambua na kufanya contact niweze kupata kazi zao na kufanikisha dhumuni letu bure !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ningependa Simba Sc impe muda kocha Omog kwani hu ndo mwanzo waligi ukizingatia Ana wachezaji wengi wapya na waliofanya vzr kwenye timu zao. NI vugumu wote kupata no first eleven
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zilizo sambaa katika magazeti mengi siku za hivi karibuni zinaoneseha wazi Simba SC inajipanga kutafuta mbadala wa kocha Omog aliyopo hivi sasa.
Ukiangalia Omog ameisaidia Simba SC kuirudisha katika mashindano ya kimataifa iliipigania kwa miaka mingi na makocha kedekede. Pia Omog...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.