Gari nzuri sana,engine ndogo kwa gari ya caliber yake 2.5i diesel na ina turbo,mbio ndio zimelala kama unapenda mbio unachanganya faster,na nisix speed,shida yake ni spare,ikizingua unapark,ziagizwe japan/Thailand,ila sio gari ya kuharibika hovyo pia,maana ni level ya ford everest,toyota fortuner.