Recent content by Enkima

  1. E

    CHADEMA na hatua tatu mbele hatua kumi nyuma

    Hata Hata viongozi wako wa ccm walisema haya haya miaka ya nyuma na wasira kutabiri cdm haitafika 2013 leo wanashangaa madiwani, wabunge na halmashauri zilizo chini ya cdm zinaingezeka sasa wameamua kusigina demokrasia
  2. E

    CHADEMA inaanza kupotea kwenye ramani ya siasa

    CHADEMA ya sasa inaongoza jiji la Dar CHADEMA ya sasa inaongoza jiji la Mbeya CHADEMA ya sasa inaongoza jiji la Arusha CHADEMA ya sasa inaongoza halmashauri nyingi zaidi CHADEMA ya sasa ina wabunge wa kuchaguliwa 12 zaidi ya ile CHADEMA ya awali CHADEMA ya sasa ina madiwani wengi zaidi kuliko...
  3. E

    Bei ya SUKARI mikoa mbalimbali Tanzania

    Arusha arumeru magharibi kata ya kiutu kijiji cha engorika kuna maduka machache ya mafichoni, kilo ni 4,000
  4. E

    KUB, Mbowe auchambua utawala wa CCM chini ya Magufuli: Umejaa uvunjifu wa Katiba, Sheria

    Uongozi wa bunge ulirudisha bilioni sita serikali kwa madai kuwa wamebana matumizi ndipo hizo fedha zikabaki, wakakati huo huo bunge linadai haliwezi kurusha matangazo kwa kuwa hawana fedha za kulipia, ni bil. 4, lakini wakati huo huo pia waandishi wa habari na wadau mbali mbali wakitaka kutoa...
  5. E

    Utafiti: 71% ya Watanzania hutumia muda wao katika mambo yasiyo na maana

    Watu humu wajinga kweli, viwanda waviuwe halafu eti na wewe uamini kuwa vijana hawataki kazi, wale vijana walijaa uwanja wa taifa wakitafuta nafasi za kazi TRA nao walikuwa hawataki kazi, wote waliounga mkono huu uouuzi ni wazembe wa kufikiri
  6. E

    Uamuzi wa NEC pigo kwa UKAWA

    Jamani, eti huyu naye kasomea uandishi wa habari. Sasa kura zikihesabiwa vituoni ni mwiba kwa Chadema au chama twawala, huyu anadhalilisha hii taaluma
  7. E

    Wana CCM mliopo Arusha na Kilimanjaro semeni ukweli mikutano ya Magufuli

    Hapa Arusha walizunguka kwenye baadhi ya college na kuwapa wanafunzi tshirt na wengine hela, viwanda vya sunflag na a to z sifa vilifungwa ili wafanyakazi waende kwenye mkutano na ilikuwa sifa ya mfanyakazi kuendelea kuwa kazini la sivyo kazi utapoteza, na kama kawaida watu wengi nawajua...
  8. E

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    Arusha mjini waliojiandikisha kupiga kura ni watu 320000+ ule uwanja pamnoja na pitch unachukua watu 30000 si kipimo kuwa ccm inakubalika Arusha, weka hii akili halafu turudi hapa tarehe 27/10
  9. E

    CHADEMA akaunti 200 za nini kama siyo ufisadi?

    Tena bado ni chache kama tuna tuna majimbo 265 na vyama vina ofisi uko kote na viongozi wa fedha pia hii ina maana kila ofisi inatakiwa iwe na bajeti yake na akaunti pia hivyo hizo 200 bado ni chache, wanaweza kuwa hata na akaunti kwa kila kata yaani akauti zaidi ya 3900
  10. E

    Kweli nimeamini ulikuwa moto wa mabua

    Marco Polo Ukitaka kujua nani ana sera mbovu na zisizotekelezeka tafuta gazeti la Nipashe la jana na leo uone hizo takwimu halafu ndiyo utajua nani mwongi
  11. E

    Elimu ya Bure ya Lowassa ni Kiini Macho

    Ukweli wa elimu bure ya Lowassa huu hapa. Mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Mh. Edward Lowassa. Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni...
  12. E

    Umoja wa Ulaya (EU) waionya Tanzania juu ya ufisadi wa Lowassa

    Ukitaka kujua inawezekana tafuta msaama wa kodi ni shilingi ngapi, hela zinazoliwq hovyo katika halmashauri zetu na hela zingine za kifidadi halafu tafuta ni shilingi ngapi huwa wahisani wanatupa kwa ajili ya bajeti utapata majibu
  13. E

    Wenje kasimamisha shughuli za kijamii jijini Mwanza muda huu

    Mabula yuko na Highness Kiwia mkubwa na si Wenje
  14. E

    Majibu kwa wote wanaomtuhumu Lowassa kwa Ufisadi

    Lowassa: asiyenipenda aondoke yeye ccm. Hii CDM wamebadilisha
  15. E

    George Simbachawene hoi jimboni kwake Kibakwe,90% anapoteza jimbo

    Hakuna kitu hapo, mfumo wote wa ccm umeoza hata aje nani mambo yatakuwa yale yale
Back
Top Bottom