Weka taarifa sawasawa wewe. Unataka kutuambia watagoma nchi nzima? Dar mpaka Mtwara, mpaka Mbeya, mpaka Mwanza na Tanga pia? Ikitokea kituo chochote kikauza mafuta kesho basi usirudi humu tena! Jipige ban mwenyewe
Picha inaonesha gari ni RHD na limepindukia kushoto upande wa siti ya abiria. Huenda dereva hakufunga mkanda hivyo alirushwa nje ya gari na mauti yakamkuta huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.