WACHAGA WAAIBIKA LEO Tbc

WACHAGA WAAIBIKA LEO Tbc

Status
Not open for further replies.
Mbona hawashangai wanaoenda kumpiga mawe shetani huko MAKA????
Asa aibu iko wapi mbona hizi dini zimekuja juzi tu na saivi kuna hadi maaskofu mashoga sasa unashangaa nn kutambika wanaoliwa tigo huoni tatizo
 
Kumbe jf kina wachaga wengi sana!!

wachaga inaonyesha wanakubalika sana humu JF kila thread ni wachaga tuu sisi tunawafurahi sana kujadiliwa kwa sababu tunakubaliki sana.
 
wachaga inaonyesha wanakubalika sana humu JF kila thread ni wachaga tuu sisi tunawafurahi sana kujadiliwa kwa sababu tunakubaliki sana.

Safi sana mkuu inadumisha mila! Wewe wa wapi sanya juu au shimbi?
 
Wachaga masmini walowahi mapeeema to mwishoni mwa novemba
 
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.

nini shida? mbona unaandika kama unataka kuruka?
 
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha

Kutambika ni kosa?
 
Habari kama hizi tbc ndio mahala pake,,. Meli ya MV spice wakati inazama wao wanapiga taarabu.TBC Andaaeni ripoti maalum basi juu ya wachaga!
 
Hii inaonyesha ni jinsi gan Wachaga ni washirikina, mtu anaeamini dini ya kweli na imani ya Mungu hawezi kwenda kula visusio, kwanza ni najisi. Ndio, ni uchafu na biblia imesema pia. Kitu cha ajabu ni kujifanya watu wa dini kumbe hamna kitu.
Acheni ushirikina
 
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha

Hapa jf hakuna mjinga mwenzio anaengaliaga tbc.
 
Hii inaonyesha ni jinsi gan Wachaga ni washirikina, mtu anaeamini dini ya kweli na imani ya Mungu hawezi kwenda kula visusio, kwanza ni najisi. Ndio, ni uchafu na biblia imesema pia. Kitu cha ajabu ni kujifanya watu wa dini kumbe hamna kitu.
Acheni ushirikina

ndo mwisho wako wa kufikiria umeishia hapo kichwa cha kuku
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom