mzee wa manzese
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 670
- 217
Mcharo au mchalo
point la kijinga sanaTangazo lenyewe limekaa kijinga. Yaani mtu ukope hela ukapikie nyama kila siku nyumbani? Labda kama wateja wao ndio wa aina hiyo
point la kijinga sana
umetsha kakaUtam hujui? Piga tigo customer care utaambiwa!
apo xaxaSasa kaoa mtamu maana yake ndo nini
Hilo tangazo inaonekana mcharo wenzake wa boda boda wanamwonea wivu, kuna mahali amelipia mtoto ada ya shule. Rudia kulisikiliza hakuna swala la nyama tu. Kinachomaanishwa hapo ni kuwa maisha yake yamekuwa mazuri na si kuwa anakula nyama kila siku. Matangazo mengi siku zote yanakuwa na lengo la kumvutia mtazamaji/ msikilizaji inabidi kujua maudhui yake kwanzaKwa wajinga. Haiwezekani kwa mtu mwenye akili achukue mkopo halafu aanze kulia nyama kila siku nyumbani kwao. Eti "kila siku anatuumiza pua"