Makambako: Gari la Polisi lapinduka

Makambako: Gari la Polisi lapinduka

acha kutetea upumbavu polisi wanatumiwa na ccm katika vitu vingi hata kwenye wizi wewe unaotetea polisi unajua vizuri au unakurupuka kama umetoka msalani

Ila ukiguswa tu..nduki polisi ...shame on you.
 
Watakuwa walilewa tu au wanawahi rushwa sehemu MAANA POLISI WETU HAWAENDI KATIKA TUKIO HADI WAHONGWE AU LA NI AMRI KUTOKA KWA WAKUBWA.
 
Angekua babayako ungeandika hivi????. Nyau wewe. Son of bitch.

Hata yule house girl kule uganda ndugu zake wangeona tukio lile bado wasingemuombea mabaya wangesema ni bahati mbaya au shetani kampitia.
Nachomaanisha usimtukane aliyeandika hv huwezi jua kwake polisi walishawahi kumfanya nini.kila mtu huchukulia kiti kwa jinsi yeye kilivyomuhusu au kumdhuru au kumgusa.
Polisi kwa wengine ni watu wazuri kwa wengine ni wanyama kabisa.
Wale waliopigwa mtwara ktk sakata la gesi hadi wengine kutekwa na jwtz na kuteswa je leo wakisikia jwtz mjeda kapata shida atasemaje?
 
Unachoshindwa kujua kuwa police ni kazi km kazi zingne, tena kazi ya wito so naumia mjinga mjinga anavowadic police, natamani hata kumtoa kende. Mtu analindwa yy na mali zake then he/she speak waste.

Mh jinsi polisi wanavyofanya kazi ndivyo wanavyosababisha watu kuwachukia usilaumu au hayajakukuta nchi yetu haina jeshi zuri la polisi linalotenda haki rushwa dhulumu imetawala.ukiwa na pesa polisi utawapenda sana ukiwa raia wa kawaida unayetegemea polisi watende kazi yao utasubiri sana na hata kutofanikisha lengo.kama unabisha fanya tafiti
 
Alijua siri fulani wenzake wametumwa kumclean. Tetete polisi wa ccm hawaaminiki hata kidogo

Iron Lady ... Nimependa sana maoni yako .. hadi .. The Prezident .. Naona kama naelekea kupata rafiki mzuri .. anyway tuone itakavyo kuwa.
 
Last edited by a moderator:
Huyo itakua alikufa kabla ya ajali. Huo mpinduko sio wa kumuua dereva wewe.
 
acha kutetea upumbavu polisi wanatumiwa na ccm katika vitu vingi hata kwenye wizi wewe unaotetea polisi unajua vizuri au unakurupuka kama umetoka msalani

kwa hiyo mali zunazolindwa ni za ccm? raia wote mnalindwa ni wana ccm? mabenki yote yanayolindwa ni wana ccm?mbowe katika msiba wa chacha wangwe wakati analindwa na polisi pale tarime alikuwa mwana ccm?

ukiona mtu anachuki na polisi ujue ni mhalifu
 
Kutokana na mabaya wanayotutendea raia....inatupa wakati mgumu kuwatakia mema zaidi ya kuwaombea mabaya.....
 
Gari la Polisi limepinduka leo Makambako. Mmoja amepoteza maisha ambaye ni dereva.
attachment.php
naomba niwe tofauti, hiyo ajali ina kila dalili ya kuonyesha imetengenezwa! Huyo mwenzao wamemchoma na kitu chenye ncha kali na gari kulisukuma na kuanguka! Wote hao waliopona wachunguzwe! Ajali ingeuwa mwingine ila sio dereva
 
watakuwa walikuwa wamebeba bangi wakiwa wakimbiza gari wakaanguka unawapa pole wahalifu wenzako

Nasubiri siku wakiwa wanatekeleza kazi kwa maelekezo ya serikali ya UKAWA kama mtatawala ndio nione comments zenu wanapopatwa na vifo, sijui mtasemaje.!
 
Nasubiri siku wakiwa wanatekeleza kazi kwa maelekezo ya serikali ya UKAWA kama mtatawala ndio nione comments zenu wanapopatwa na vifo, sijui mtasemaje.!

Itategemea misingi ya kazi itakuwaje wakati huo kama hawatalibadili pia tutaendelea.kuwachukia tu. Tunawalaumu ccm kwa sababu ndio watawala wa sasa wanapaswa kuhakikisha polisi wanafanya kazi kwa uadilifu badala yake wao wanawatumia vibaya na kuwaacha wafanya wanavyoona.
 
Picha inaonesha gari ni RHD na limepindukia kushoto upande wa siti ya abiria. Huenda dereva hakufunga mkanda hivyo alirushwa nje ya gari na mauti yakamkuta huko
 
Nasubiri siku wakiwa wanatekeleza kazi kwa maelekezo ya serikali ya UKAWA kama mtatawala ndio nione comments zenu wanapopatwa na vifo, sijui mtasemaje.!
mwakani siyo mbali utawala wa ccm umeshaisha.
 
Back
Top Bottom