Recent content by enhance

  1. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimtelekeza mke wangu, nimerudi nimekuta rafiki yangu kamuoa

    Dunia ni kubwa na mambo ni mengi ukishangaa hili kesho linakuja lingine! pole kwa hayo hakuna aliye mkamilifu, ila alichofanya aliyekuwa mkeo si kitu kizuri hasa swala la kumiliki nyumba pamoja na mwanaume mwingine!
  2. E

    JamiiForums Tanzania Angalia kwa Umakini Majina Haya, Kisha Tafuta Rais Mtarajiwa kwa Tiketi ya CCM

    na huyu ndiye atatufaa, mwl , Dr na profesa wameshindwa kutuongoza vema tujaribu huyu!
  3. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulijua ana mchepuko na akaahidi hatakuwa naye tena, kumbe wanaendelea, utafanyaje?

    asiyekuwepo machoni na moyoni hayupo!
  4. E

    JamiiForums Tanzania K Lyn afunguka kuhusu maisha yake na muziki

    warumi unafurahisha!!
  5. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tukiwa outing anageuka bubu

    Ulianza kumuheshimu sana kupita kiasi kwa kujua a kutokujua! matokeo yakawa hayo!
  6. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

    ni kweli kbs!
  7. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

    Pole sana! Mungu akuwezeshe!
  8. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

    Bila shaka amepumzika kwa amani! pole sanaa!
  9. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

    Kwa wakati wa Mungu atawapa haja ya mioyo yenu! lakini pia ni vizuri mkiwaona wataalam wa haya mambo! poleni sana!
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mamantilie wanatusaidia au kutumaliza?

    Tupia kapicha basi!
  11. E

    JamiiForums Tanzania Mamantilie wanatusaidia au kutumaliza?

    lukelo sakafu mkuu habari za maisha mapya mkeo hajambo!
  12. E

    JamiiForums Tanzania Nani mwimbaji bora wa Gospo wa mda wote Tanzania?

    Mkuu hapa hoja ni nani mkali kwa uimbaji? na wala sio kuwa na albam nyingi! zinaweza kuwa nyingi lakini hakuna ubora!
  13. E

    JamiiForums Tanzania natafuta watengenezai mihuri hapa dar

    sina contant ila nenda posta mtaa wa jamhuri pale round about wapo wengi tu tena fasta!!
  14. E

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Member mwenzetu Mgirik amefiwa na baba yake mzazi

    mgiriki pole sana mkuu!
  15. E

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday to me

    heri ya siku ya kuzaliwa Elli!Mungu akupe kila haja ya moyo wako!
Back
Top Bottom