Mleta mada hafahamu mchango wala historia ya Profesa Mazrui katika bara la afrika na ulimwengu kwa ujumla, nafikiri hata mizinga angestahili. NAWAKILISHA!
Inasikitisha sana! Mimi ni mmoja wa wasomi ktk inji hii; ni mmoja wa wahadhiri ktk vyuo vyetu vikuu vya uma ktk inji hii. Ni mmoja wa watanzania tuliohenyea digrii za uzamivu (PhD), sio honororis causa kutoka vyuo vikuu vya vinavyoheshimika ktk Bara hili! Lakini kweli inaumiza sana...
Amka wewe usinziaye LIZABONI; Nini kinachokupagawisha wewe? Kila mtu unafikiri LEMA au CDM! Mimi namwona tu kwenye TV- sikuwahi kumtia machoni live, Alichokiandika Rutashobolwa hakina ubishi, vinginevyo km una lako jambo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.