Waliohamia ACT warejea CHADEMA Singida

Waliohamia ACT warejea CHADEMA Singida

Tusidanganyane "CDM' ni kiboko yao; wachache wanajidanganya ati CCM inaimarika, thubutu!
 
Kila siku tunasema HUWEZI KUANZISHA CHAMA CHA SIASA KWA KUTEGEMA KURUBUNI WANANCHAMA WA VYAMA VINGINE - chama hakijengwi namna hiyo.

Kinachotakiwa ni kupiganga, kuweka itikadi ya chama chako then wanachama waje wajiunge na wewe kwa hiari yao wenyewe!!

Sijui mshauri wa chama hiki kipya ni nani kama hajui hata vitu vidogo vidogo kama hivi basi chama kitakufa kabla hakijatambaa.
 
Nilishangaa majuzi kwenye BMK Siita anasema ACT ni Chama kichanga lakini ninafanya vizuri na kinakua kwa kasi.
 
Waliopata kuwa viongozi wa CHADEMA wilayani iramba mkoa wa singida na kuhamia ACT,wameomba kurejea Chadema.Taarifa za uhakika kutoka wa viongozi waandamizi wa chadema wilaya na mkoa zimethibitisha habari hii kuwa ni kweli.

Viongozi waliotajwa kurejea chadema ni aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya ndago bwana Salehe Maganga, aliyekuwa katibu mwenezi kata ya urugu Hamisi Mtoa na aliyepata kuwa mwenyekiti wa chadema wilaya iramba Hasan Sembe.

Walipohojiwa walidai sababu za kuomba kurejea Chadema ni pale walipogundua kuwa ACT sio chama cha upinzani ila ni mawakala wa Ccm,na wanasema waliahidiwa kupewa pesa na Kitila Mkumbo ili wahame Chadema lakini kawatapeli. Wamedai Chadema ndio chama chenye kubeba matumaini ya watanzania.SOURCE viongozi wa chadema singida.

Kwa hiyo huku kwa Mbowe amefika dau la sh ngapi sasa, maana walifuata pesa.
 
Kitila Mkumbo kwasasa anajilaumu kwa kujitangaza mapema!! Bora angejiweka kwenye mabano kama mnafiki mwenzie Zitto!!
 
Acha Porojo na kudanganya umma,hakuna kiongizi hata mmoja wa ACT -Tanzania alierejea chagadema.

Kwa sasa chagadema imeshapoteza uelekeo na inarafuta kick kwa story za kurunga hasa baada ya CD yao ya maandamano ku scratch.

Waache ACT waijenge na falsafa iliyitukuka kwa wananchi wao.

Watunga hekaya maarufi wenyewe wameshaisusa kazi,wewe bado hujakata tamaa?

Pole sana
 
Chadema imesha kufa,kila opararion imefeli,chaguzi ndio wametumia Bil 3,,chopa 3,wakaambulia kata tatu.

Kalenga holaaa


chalinze chiniiiii


Maandamano yamebuma


hata wale vijana wa kutunga uongo aki na Yeriko na Saa nane nao wamegoma kutumikishwa.

Andamana wewe sisi tuachie chama pendwa chenye mikakati ya kisomi.


ACT -TANZANIA ndio habari ya mjini,na utaikubali ACT siku ukimjua M2 ni nani.
 
Acha Porojo na kudanganya umma,hakuna kiongizi hata mmoja wa ACT -Tanzania alierejea chagadema.

Kwa sasa chagadema imeshapoteza uelekeo na inarafuta kick kwa story za kurunga hasa baada ya CD yao ya maandamano ku scratch.

Waache ACT waijenge na falsafa iliyitukuka kwa wananchi wao.

Watunga hekaya maarufi wenyewe wameshaisusa kazi,wewe bado hujakata tamaa?

Pole sana


Mkuu elimu yako kwanza tafadhari maana hata jina lako umeshindwa kuandika!!

Chadema imesha kufa,kila opararion imefeli,chaguzi ndio wametumia Bil 3,,chopa 3,wakaambulia kata tatu.

Kalenga holaaa


chalinze chiniiiii


Maandamano yamebuma


hata wale vijana wa kutunga uongo aki na Yeriko na Saa nane nao wamegoma kutumikishwa.

Andamana wewe sisi tuachie chama pendwa chenye mikakati ya kisomi.


ACT -TANZANIA ndio habari ya mjini,na utaikubali ACT siku ukimjua M2 ni nani.
 
Mimi nashauri walambwe bakora kwanza hayawani hawa.
Toa BORITI kwenye jicho lako kabla ya kushangaa kibanzi ...............
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-zilizoibiwa-zapatikana-ofisi-za-chadema.html
Njia ya mwongo ni fupi! Hatimaye KADI za chama cha ACT-Tanzania zilizoibiwa siku ya ufunguzi wa ofisi ktk jiji la mbeya, zimekamatwa na polisi ktk ofisi za CHADEMA jijini humo. Huu ni ushindi dhidi ya wale wanaojiona wana haki miliki ya siasa za upinzani ktk nchi yetu. Pia imedhihilisha bila shaka kuwa zile tuhuma za kuvunjwa kwa ofisi za chama chetu wao ni wahusika namba moja. Ongera vijana wazarendo BAHATI NA SANGA Kwa ufuatiliaji wa kina badala
ya kuandamana mmekamata wezi.
Source: RPC MBEYA.
 
Waliopata kuwa viongozi wa CHADEMA wilayani iramba mkoa wa singida na kuhamia ACT,wameomba kurejea Chadema.Taarifa za uhakika kutoka wa viongozi waandamizi wa chadema wilaya na mkoa zimethibitisha habari hii kuwa ni kweli.

Viongozi waliotajwa kurejea chadema ni aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya ndago bwana Salehe Maganga, aliyekuwa katibu mwenezi kata ya urugu Hamisi Mtoa na aliyepata kuwa mwenyekiti wa chadema wilaya iramba Hasan Sembe.

Walipohojiwa walidai sababu za kuomba kurejea Chadema ni pale walipogundua kuwa ACT sio chama cha upinzani ila ni mawakala wa Ccm,na wanasema waliahidiwa kupewa pesa na Kitila Mkumbo ili wahame Chadema lakini kawatapeli. Wamedai Chadema ndio chama chenye kubeba matumaini ya watanzania.SOURCE viongozi wa chadema singida.
Mlituaminisha hapa kuwa hawa ni mamluki na hawahitajiki ndani ya chadema.
Mbona mnakula matapishi yenu????? wendawazimu utawajua tu kwa double standard
 
CHADEMA ipo moyoni si kwenye majengo na mavazi kama hawa inzi wa kijani(maccm).
 
ARFIIIIIIIIIIIII. Safi sana ,hivi kwa nini Zitto alikupoteza vile??.Hata hivyo hiyo reaction humo ndani haina nguvu.Ungekuja tu huku nje tukapambana nao.
 
Waliopata kuwa viongozi wa CHADEMA wilayani iramba mkoa wa singida na kuhamia ACT,wameomba kurejea Chadema.Taarifa za uhakika kutoka wa viongozi waandamizi wa chadema wilaya na mkoa zimethibitisha habari hii kuwa ni kweli.

Viongozi waliotajwa kurejea chadema ni aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya ndago bwana Salehe Maganga, aliyekuwa katibu mwenezi kata ya urugu Hamisi Mtoa na aliyepata kuwa mwenyekiti wa chadema wilaya iramba Hasan Sembe.

Walipohojiwa walidai sababu za kuomba kurejea Chadema ni pale walipogundua kuwa ACT sio chama cha upinzani ila ni mawakala wa Ccm,na wanasema waliahidiwa kupewa pesa na Kitila Mkumbo ili wahame Chadema lakini kawatapeli. Wamedai Chadema ndio chama chenye kubeba matumaini ya watanzania.SOURCE viongozi wa chadema singida.

Haya ni maneno yako ndugu yangu Alfayo, umetengeneza uongo unajijibu mwenyewe! Hakuna kiongozi yeyote aliyerudi Chadema nilikuwa na Bwana Salehe pale Zinziligi kiwanda cha Ndugu Yusuph Nalompa na kukanusha vikali hizi shutuma!

Chadema Iramba ni mfu hoi kabisa!
 
Back
Top Bottom