Recent content by Endless curiosity

  1. E

    Boys talk: Vitu kumi ambavyo wanawake wanapenda kusikia kutoka kwa wapenzi wao

    Hayo ni general sana ila kumbuka kila mtu ana interest zake labda ungesema kwenye heading kuwa wanawake wanaopenda mapenz. Maana wapo wasiopenda kupendwa bali miili yao ni office zao, sasa maneno hayo yana maana gani kwake? Katika viumbe vigumu kuvielewa ni binadam yaan...
  2. E

    Mama kibosile 'ananitega' kazini

    Mwambie mamba ameshatabasamu baada ya kuona amefika mtu mtoni hiari yake tamfanye mamba acheke kabisa au amfanye anune. Huko tunaita ni kupendwa na shetan. Asubuhi njema mfowadie huo ushauri we amka best yangu mpendwa sasa twende viwandani c unajua tz ya viwanda ee. Twende kuipeleka nchi yetu...
  3. E

    Je, unaweza kupata ''real love'' mtandaoni?

    Ndio unaweza sana tu, kwa 7bu sisi tulio mtandaon ni wanadamu wa jamii yetu wa sayari hii hii. Mazingira ya kukutana na Adam au Eva wako ni mahali popote. Ila kuna kuna dosari zake pia ambazo unaweza kuziindoa ni mambo ya kawaida kabisa ila usiache kumuuliza Mungu kwa habar hii pale unapokutana...
  4. E

    Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

    Afadhari kazi shatani zianguke na kazi ya Mungu itasonga mbele zaidi, asa hiv waliokuwa wateja pale bila shaka baadhi yao sasa wadau was fursana, MO passion mo portero nk ..
  5. E

    Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

    Huyo anaweza kuwa na moja kati ya haya 1. Ni wa mwisho kuzaliwa 2. Alianza mahusiano na wewe kupunguza stress za kuachana na mpz wake aliempenda ila anaona hufeet kwenye lile gap anatafuta njia ya kuacha 3. Hajakuzoe au hajiamini labda wew umemzidi status sasa anahic akipiga story anaweza...
  6. E

    Je, ni sahihi kusave namba ya mpenzi kwa jina lake?

    Mi binafsi napenda anisave Jina langu na mi pia napenda kumsave hivyo, hata kuitwa tu napenda aniite Jina langu. Kwa maana Habari ya kuzoea nick names ni kwamba hata mchepuko unaitwa hivyo hivyo kwa hiyo hakuna maana. Mkiwa faragha anaita mf. Being, swtie cjui .. nn kumbe haitwi wew anakuwa...
  7. E

    Tukubali lipi katika uongozi huu wa awamu ya tano?

    Ni mjinga na wenye akili tumbon pekee atakubali.
  8. E

    Jeshi la Polisi Manyara linamshikilia mbunge Mary Nagu kwa amri ya Mkuu wa wilaya ya Hanang Sara Ally

    Kuna nabii mweusi naikumbuka kauli yake kuwa wakitumaliza ss wataanza na nyie. Hata kama ikitokea leo Wapinzani wakaamua kunyamaza na kutoshughulika na wao, bado watafanyiana hayo wao kwa wao . Wacha tuone mwisho wake
  9. E

    Ushauri: Mume wangu amenikataa baada ya kupunguzwa kazi, kwa madai kwamba alioa mwalimu na si mama wa nyumbani

    Pole sana dadaangu sasa ndo amekuwa halisi mwanzon na yeye alikuwa feki na kwakuwa alikuwa na upendo feki mpe na ajali kwenye mapenzi wanaume wa hivo wako wengi ambao hawawezi kuhudumia familia zao jipange upya anza maisha mapya kuna maisha mengine pasipo yeye na ajira ya serkali .Mungu wa...
  10. E

    Kwa wanaume mliokuwa viwembe sana kabla hamjaoa, mliwezaje kuacha baada ya kuoa?

    Haya mkuu nafikiri unaitwa kuzimu mapema. Hiyo ni kwa sababu hujaamua kwa moyo bali umeamua kwa mwili tu. Kama hujasikia kitu kinachoitwa vokovu basi kitafute hiki utapona kabisaa hao wanaokuja ni mawakala wa shetan anaitafuta roho yako. Usifurahie kupendwa na shetan kama unabisha kuna siku...
  11. E

    Bado mnaamini tuko kwenye vita ya uchumi?

    Upo sawa kabisa mkuu, unaweza hata kuhama. Hoja na kiki za kijinga ambazo wajinga huona kama sera zimeisha . Ila hakuna mwanzo uco na mwisho.
  12. E

    Stori ya Aida Olomi: Dada aliyepigwa risasi maandamano ya CHADEMA

    Ni shetan peke mwenye mamlaka ya kutesa watu soma ayubu, kwahiyo ukiona wewe humpendi mwenzio ujue ni wakala wa shetan
  13. E

    Tundu Lissu: Nawapa pole Sugu na Goddie Masonga, naunga mkono pendekezo la Zitto kwa wabunge wetu wote

    Mkuu muogopeni munMu wa mbinguni, hv kwa lipi hasa alosaliti nchi ? Au mi sielewi maana ya usaliti ? Mungu atusaidie kwakweli
  14. E

    Tundu Lissu: Nawapa pole Sugu na Goddie Masonga, naunga mkono pendekezo la Zitto kwa wabunge wetu wote

    Wapo wengi nawaelewa ila mheshimiwa Lissu huwa namuelewa zaidi . Mungu wa uzima ukuponye mapema zaidi.
Back
Top Bottom