afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,254
- 2,678
Kweli ndoa nyingi watu wanatafutaga nafasi tu ya kubadilisha mke/mme huwa watu wanavumiliana tu ila washachokana kabisa.
Mara nyingi wa hivyo ni wazee wa vitonga, a.k.a marioooooHilo swali silipendi kabisa ,na kama niliisave namba yake naifuta kabisa......... Afu hawajuagi wanawake sisi ni waropakaji ipo siku nitaongea tu kulalamika so haina haja ya wao kuuuliza such question
Basi sawa mwambie akupe talakaWakuu habari!! Bila kuwapotezea muda kilicho nisibu ni hiki hapa. Baada ya miaka 15 ya ndoa nikiwa ni mtumishi idara ya elimu nimejikuta napata ajali kazini kwa kupunguzwa kazi katika sakata la vyeti feki, katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto watatu.
Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni kwamba baada ya kupunguzwa kazi mwanaume amenikataa katakata kwa madai kwamba alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Licha ya kuwashirikisha wazazi wa pande zote mbili lakini bado mume wangu ameendelea kushikiria msimamo wake kuwa yeye alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Na anasisitiza kwamba nichague chochote ninachotaka niondoke nacho maana yeye hayupo tayari kuishi na mama wa nyumbani.
Mpaka sasa nipo njia panda, naombeni ushauri wenu wakuu.
Upo sahihi. Yeye ndio anapaswa kuhama maana yeye ndiye alikukataa. Ww baki nyumbani mwako, infact ukiona anakunyanyasa nenda mahakamani uzeni nyumba mgawane mlichochuma kila mmoja aendelee na maisha yake, binafsi singependa mfikie hatua hii natamani ndoa yenu irudi katika amani.....Hiyo ni nyumba yenu, ahame yeye, siyo wewe!,..maisha siyo kuajiriwa tu, unaweza fanya shughuri nyingine ya kukuongezea kipato...Jiamini na utaweza.
Kamana watoto wa tatu basi wewe usiondoke sehemu yoyote ile na wala usithubutu kufanya hivyo anavyotakaWakuu habari!! Bila kuwapotezea muda kilicho nisibu ni hiki hapa. Baada ya miaka 15 ya ndoa nikiwa ni mtumishi idara ya elimu nimejikuta napata ajali kazini kwa kupunguzwa kazi katika sakata la vyeti feki, katika ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto watatu.
Kilichonifanya niombe ushauri kwenu ni kwamba baada ya kupunguzwa kazi mwanaume amenikataa katakata kwa madai kwamba alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Licha ya kuwashirikisha wazazi wa pande zote mbili lakini bado mume wangu ameendelea kushikiria msimamo wake kuwa yeye alioa mwalimu na si mama wa nyumbani.
Na anasisitiza kwamba nichague chochote ninachotaka niondoke nacho maana yeye hayupo tayari kuishi na mama wa nyumbani.
Mpaka sasa nipo njia panda, naombeni ushauri wenu wakuu.
Hapa hakuna haja ya kugawana kwa sababu aliyechoka ni mwanaume anapaswa aipishe familia hapa anapaswa awe na roho ngumu tuu mwanamke hajawahi shindwa kwa mwanaumeMpeleke mahakamani omba mgawane mali mlizochuma, custody ya watoto na matunzo kwa watoto mtu akikukataa usilazimishe atakuja kukuua
Ndio maana, hapa nimegundua kitu. Itakuwa wewe ndio ulikuwa unabeba familia kwa asilimia kubwa, sasa kaona mzigo wote wa kulea ni juu yake hivyo anatafuta vijisababu ili akutimue na watoto.Hana kazi maalum
Asume lingekuwa karibu hili mkuu na uwe umeshika chupa ya konyagiMjinga sana wewe,mtu anamatatizo unamjibu hivyo?!!acha ushamba kenge wewe
Mara nyingi wa hivyo ni wazee wa vitonga, a.k.a mariooooo
Akutafutie kazi kukuacha sio uamuzi sahihi maisha hayapo hivyo anavyo yachukulia yeye kwamba kazi ndio msingi wakilakitu biashara pia inalipaYule sio mariooo maana hela alikuwa ananipa vizuri tuuu ..... nadhani hakuwa comfortable kuona nipo tu nyumban nasubir ajira!