Tatizo kila anayeenda kazizin haend kufanya kazi bali anaenda kutafuta pesa, zana ya kwenda kufanya kazi siku hizi haipo, mtu anawaza leo nitaingiza shingapi! Nikuwaza waza madili tu sio kazi, ndio maana hata kazi zenyewe hazina uafanis wowote ni majanga tu. Acha tuisome namba...kawimbo kazurii...
We umeona kula kitimoto,huyo hata kusali anasali dini lake la asili, kukisalit kitu ulichokuwa nacho tangu utoto ukiwa mtu mzima yataka moyo, hapo linda ndoa tu mengine ya kiiman linda moyo wako mwenyewe
Namna ya uwasilishaji wake, soma uwasilishaji wake utaelewa, hutaki mapenz na mtu unaanza kumpamba zaidi ya mkeo? Atakuwa na tatizo hilo sawa, kama ameamua kumsaliti mke wake kwa huyo mchepuko bas hata bint wa mchepuko achepuke nae
Eti wanasubiri nini! Hao nikwambie wanasubiri waipeleke timu katika makundi ya shirikisho na utambue ndio sababu kubwa ya kuwa sajili wakishindwa ndio umwambie huyo rais wako awatimue wakacheze ndanda Fc
Nadhani unacho kiandika haba ni ushabiki, Je kadi hizo zilikuwa halali au uonevu, mambo ya Azam yametoka wapi? Tushabikie mpira tuache malumbano, ndio maana nasema hivi hata sakho alitakiwa kad nyekundu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.