Binti wa mchepuko wangu anataka nitembee naye

Binti wa mchepuko wangu anataka nitembee naye

Acheni comment za kijinga jamaa Yuko kwenye hard time kweli vaeni uhusika je ungekuwa wewe?
Namna ya uwasilishaji wake, soma uwasilishaji wake utaelewa, hutaki mapenz na mtu unaanza kumpamba zaidi ya mkeo? Atakuwa na tatizo hilo sawa, kama ameamua kumsaliti mke wake kwa huyo mchepuko bas hata bint wa mchepuko achepuke nae
 
Namna ya uwasilishaji wake, soma uwasilishaji wake utaelewa, hutaki mapenz na mtu unaanza kumpamba zaidi ya mkeo? Atakuwa na tatizo hilo sawa, kama ameamua kumsaliti mke wake kwa huyo mchepuko bas hata bint wa mchepuko achepuke nae
Kwani kumpamba ni kosa mkuu? By the way huyo mwingine kasema ni MCHEPUKO wake sio mkewe na isiyoshe sio kosa kumuelezea muonekano wake huyo binti
 
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!

Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.

Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.

Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.

Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.

Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.

Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.

Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.

Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.

Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.

Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.

Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?

Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.

Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.

Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.

Nipeni ushauri wakuu wa MMU. [emoji120][emoji120][emoji120]
mpakue
 
Huyu jamaa atoe basi connection ya mawasiliano ya binti aone kama hatapewa mrejesho mapema sana.unamchelewesha kumgegedua, mkule kisawasawa mpaka akakukumbuke huko aendako acha ujinga wewe watakucheka watu shauri zako.
 
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!

Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.

Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.

Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.

Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.

Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.

Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.

Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.

Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.

Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.

Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.

Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?

Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.

Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.

Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.

Nipeni ushauri wakuu wa MMU. [emoji120][emoji120][emoji120]
DeepPond njoo umuelekeze jinsi ya kufanya
 
Na ndio huyo binti anategemea kwenda kuanza chuo hadi amalize itakuwa n shuguli!
 
Dah mashetani ya sku hizi yanawavaa watoto vibaya sana asee...mkuu usije jarbu kumgusa huyo mtoto narudia USIJE JARIBU KUMGUSA HUYO MTOTO LA SIVYO UTAJUTA.
 
Inshu ndogo sana hii umeshindwa kui handle na unasema una familia!
 
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!

Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.

Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.

Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.

Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.

Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.

Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.

Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.

Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.

Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.

Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.

Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?

Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.

Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.

Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.

Nipeni ushauri wakuu wa MMU. [emoji120][emoji120][emoji120]
Matangazo kwa style hii tulikuwa tunafanya wakati tupo vijana miaka ya 2000s.
 
Singo maza wenye watoto wa kike wakubwa huwa wameshajiandaa kuliwa yeye na mwanaye.
Ndio maana huwa wanakupa ukaribu naye.
 
Mbona mnampa laana mtoto hivi hivi!?
Yani wewe na akili zako timamu kabisa huku ukijua sauti za mizagamuo zinatoka nje na mtoto anasikia na mnafanya kwa uhuru kabisa.

Hufai kua mzazi.
 
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!

Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.

Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.

Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.

Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.

Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.

Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.

Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.

Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.

Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.

Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.

Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?

Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.

Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.

Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.

Nipeni ushauri wakuu wa MMU. [emoji120][emoji120][emoji120]
Muulize harmonize anaweza kukupa ushauri wa kumwepuka
 
Back
Top Bottom