Jinsi michepuko inavyompa raha mke wangu

Jinsi michepuko inavyompa raha mke wangu

Shida ya kuchepuka
BmIEWI1IcAAeSot.jpg
 
Kuna vitu vinachekesha, so ukitoka kwamcheps na wife siku hiyo hiyo lzma liamshwe? Kuna watu hawaogopi kabisa magonjwa
 
Nishajua bwana shemeji hii ntamfikishia dada km ilivyo😁
 
Nimependa hii thread kwa sababu zifuatazo....

1. Moja mwandishi anampenda mke wake
2. Mwandishi anamtumza mke wake ... kupitia zawadi...
3. Mwandishi anafanya maendeleo.....(site)
4. Ana malezi bora ya watoto ....
5. Mwandishi anaufahamu wa mke na mchepuko....

Mwandishi wewe utakuwa mmoja kati ya wanaume wenye akili sana
 
Yaan mke wang ana uwezo mkubwa sana wa kugundua kuwa nachepuka hadi nimeamua kufanya hata kama akijua shauri yake yaan ana hisia za hatar sana

Maana hata yeye kabla sjamuoa alikuwa ananisaliti tena kwa wanaume za watu,sasa mbinu zote anazijua,kacheza sana na wanaume za watu
 
Hongera mno zipeleke mpaka kwa wajukuu zako. Na huu Uzi uutunze ili kizazi chako kijivunie kwa kuwa na babu mwenye mbinu zake za kula mbususu. Yaani Africans Americans and Africans for love affairs and luxury and music we're so damn fakking good than any racem. Let us beat our chest and remove our shirts so that we walk kifua wazi. Isn't it? Type Basi na maujanja japo Bei ya chakula ishuke na vijana watapataje Ajira. Yaani tunabadilisha penye mbususu tunaweka maisha
Umeongea ukweli,nchi inavijana wa ovyo sana 🙁
 
Nimependa hii thread kwa sababu zifuatazo....

1. Moja mwandishi anampenda mke wake
2. Mwandishi anamtumza mke wake ... kupitia zawadi...
3. Mwandishi anafanya maendeleo.....(site)
4. Ana malezi bora ya watoto ....
5. Mwandishi anaufahamu wa mke na mchepuko....

Mwandishi wewe utakuwa mmoja kati ya wanaume wenye akili sana
Mzee hata wewe unaakili sana hadi umeyaona hayo..... ila kuna vichwa panzi wengi hawajui kutenganisha michepko na fsmilia
 
Yaan mke wang ana uwezo mkubwa sana wa kugundua kuwa nachepuka hadi nimeamua kufanya hata kama akijua shauri yake yaan ana hisia za hatar sana

Maana hata yeye kabla sjamuoa alikuwa ananisaliti tena kwa wanaume za watu,sasa mbinu zote anazijua,kacheza sana na wanaume za watu
mkuu hii noma
 
Unafikiria Mkeo ni beki Tatu! Ila siku utakapongundua ni mshambuliaji atakuwa alisha kupiga mabao ya kutosha
 
Back
Top Bottom