Chuo kikuu kishiriki cha Marian- MARUCO kilichopo Bagamoyo kinatangaza nafasi za assistant lecturer, lecturer na senior lecturer katika masomo ya Chemistry, Physics, English, History na Economics
Vigezo ni 3.5 undergraduate na 4.0 Masters (Minimum requirements)
Kwa maelezo zaidi I have...
Private wakikuona huelewi mambo wanakukula nakumbuka nishawahi kufanya kazi na mtu kampuni moja grade sawa ila analipwa 700K wengine wanaanza na 1.5M
Wahindi wanacheza na dishi la muajiriwa kama lina chenga wanajipigia
Watu hawajui tu hivi wanavyoita vya kata wanalipa kama UDSM tena malecture wa kule wanakunywa na chai ☕️ bure umeona bwana
Af bado kama unali PhD lako unalamba udean wa faculty haraka sana
UDSM labda faida yake wako mjini pia kuna watoto wazuri
Pia unaweza pitiwa na teuzi za mzee wa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, natafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 18-25.
Awe mwenye upendo na anayejali
Elimu sio kigezo sana ili mradi awe muelewa
Mimi nasoma Masters Degree kwa sasa Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Kama kuna mtu yuko interested ana PM then tutapeana contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.