Kweli ni hatar sana yaan matumain hamna kabisa. Sasa tufanyeje maana hili tatizo linazidi kukua na limeshafika mpaka milangoni mwetu na kwingine limeshaingia sebulen kabisa. Linawapata wadogo zetu, wajomba zetu na linakuja kwa watoto wetu...jamaaan...
Nilisikia kuhusu kitabu hicho miaka michache iliyopita, na kwamba ni kitabu kilichoandikwa Marekani,USA. Naomba mwenye taarifa zaidi atujuze wana JF na kinapatikana wapi. Mimi binafsi nakitafuta jamaani...
Wakuu naomba kuuliza kuhusu hiki kitabu, kama kipo sokoni? Au hakipo. Kina title " Tanzania the Sleeping Economic Giant in Africa, when will you wake up?"
Ni kitabu kilichoandikwa Marekani. Naomba kujua kama kipo sokoni nakitafuta jamani...au mwenye maelezo kuhusu kitabu hicho anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.