Ndalichako mbona mawazo watutia,
Elimu tuliyo tuliyoIpata ajira twangoja,
Kila siku matamuko sisi wapi tupo tena,
Elimu tuliyo pewa ajira kuzingoja.
Angalia hali zetu uduni umetawala,
Bahati kuipata chuoni kutinga mrua,
Tukasoma kwa shida mpaka kung'amua,
Leo tena kwetu laana ajira...