CHADEMA mkiongea leo kumbukeni kesho mtaongea nini tena

NgugiAchebe

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,024
688
PALE WANASIASA WETU WANAPOKOSA AKIBA YA MANENO.

Siasa za Tanzania ni Pasua Kichwa....

Waliwaamimisha umma kuwa chama cha ACT-Wazalendo kimeweza kumudu kufanya kampeni kwa kupewa pesa za bure na CCM....

Wakaongeza kuwa Mambo yote anayoyafanya Zitto ni kwakuwa kahongwa na CCM kuua upinzani.....

Leo nakutana na Headline ya gazeti la Tanzania Daima(Gazeti la Mbowe)wameandika "Zitto na ACT-Wazalendo kufilisiwa kwa madeni wanayodaiwa waliyokopa wakati wa uchaguzi"....

Hapa ndipo tunapozidi kuuvua nguo upinzani wa Tanzania kwa kuwa na ndimi mbili katika hoja ileile.....

Hii haina tofauti na zile hoja za kumtangaza Lowassa ni Fisadi halafu baadae tena ukaanza kumtetea wakati wewe ndiye muasisi wa kumchafua...

Haina tifauti na kusema kuwa CUF ni CCM B, Mbatia ni usalama wa taifa.......Mwisho mnashirikiana na watu ulioaminisha umma kuwa hawafai....

Lakini pamoja na makosa yote hayo bado watu wanawaamini.....

Endeleeni kuwaamini lkn waambieni wawe na "AKIBA YA MANENO"
01a389ac69cfa29d8766fcc1fcbd7cc8.jpg
 
CCM na serekali yake,hawana hulka ya kutoa tasilimu kwa kila kitu,kuna wakati wanatoa tasilimu,wakati mwingine wanatoa nusu tasilimu au robo wakati mwingine wanatoa ahadi tupu bila kutoa hata senti moja,ili wafanikishe malengo yao.

Wakishafanikisha malengo yao,huwaoni tena,kama ulibahatika kupata nusu tasilimu,utabakia na nusu taslimu hivyohivyo,kama ulibahatika kupata robo taslimu utabakia na robo taslimu hivyohivyo,kama ulikuwa umeahidiwa utabaki unaugulia maumiumi ya kuahidiwa hivyohivyo,CCM hawana habari tena na wewe.

Madiwani wa CHADEMA wa shinyanga walishawahi kulizwa kwa mtindo huuhuu na CCM kwa kuahidiwa kupewa milioni 50,kama watakiacha na kujiunga CCM,baada ya kukimbia CHADEMA na kujiunga CCM hakuna milioni hamsini waliopewa na CCM zaidi ya kuvuna aibu walioipata.

Hata Zitto mwenyewe na ACT wazalendo siyo kwamba alilipwa taslimu kwa kila jambo ili audhofishe upinzani,mambo mengine ilikuwa ni taslimu,mengine nusu taslimu,robo na mengine zilikuwa ni ahadi.

Na mambo haya yalifanyika kipindiki kile cha utawa wa swaiba wake,sasa amekuja mtawala mwingine asiyekuwa na swaiba,Zitto atabakia na taslimu zilele alizopata chini ya utawala wa swaiba wake,atabakia na nusu taslimu zilezile,robo taslimu zilezile alizozipata enzi za utawala wa swaiba wake na ahadi alizozipata atabaki nazo vilevile kwa kuwa mtawala wa sasa hana muda wa kipuuzi kwa kutoa pesa kwa maswaiba.

Kwa hiyo Zitto itabidi ajipapase hapa na pale kujilipia madeni anayodaiwa kwa kuwa mtawala wa sasa hayuko tayari kutekeleza ahadi zilizoachwa na mtangulizi wake.
 
PALE WANASIASA WETU WANAPOKOSA AKIBA YA MANENO.

Siasa za Tanzania ni Pasua Kichwa....

Waliwaamimisha umma kuwa chama cha ACT-Wazalendo kimeweza kumudu kufanya kampeni kwa kupewa pesa za bure na CCM....

Wakaongeza kuwa Mambo yote anayoyafanya Zitto ni kwakuwa kahongwa na CCM kuua upinzani.....

Leo nakutana na Headline ya gazeti la Tanzania Daima(Gazeti la Mbowe)wameandika "Zitto na ACT-Wazalendo kufilisiwa kwa madeni wanayodaiwa waliyokopa wakati wa uchaguzi"....

Hapa ndipo tunapozidi kuuvua nguo upinzani wa Tanzania kwa kuwa na ndimi mbili katika hoja ileile.....

Hii haina tofauti na zile hoja za kumtangaza Lowassa ni Fisadi halafu baadae tena ukaanza kumtetea wakati wewe ndiye muasisi wa kumchafua...

Haina tifauti na kusema kuwa CUF ni CCM B, Mbatia ni usalama wa taifa.......Mwisho mnashirikiana na watu ulioaminisha umma kuwa hawafai....

Lakini pamoja na makosa yote hayo bado watu wanawaamini.....

Endeleeni kuwaamini lkn waambieni wawe na "AKIBA YA MANENO"
01a389ac69cfa29d8766fcc1fcbd7cc8.jpg
Mbona huulizi hasira za JPM kuyafuta magazeti zinatokea wapi?
 
Kwenye thread kama hii vijana wa ufipa huwaoni.
Ukweli ni kwamba upinzani ulijiloga kumpokea lowasa, umeufanya upinzani uporwe na ccm hoja muhimu ya ufisadi.....hoja iliyowapandisha chati hasa wakati wa dr slaa.
toka lowasa atimbe chadema sikumbuki kama baada ya hapo neno ufisadi limepata japo kutamkwa ni kiongozi yeyote ndani ya chadema!
 
CCM na serekali yake,hawana hulka ya kutoa tasilimu kwa kila kitu,kuna wakati wanatoa tasilimu,wakati mwingine wanatoa nusu tasilimu au robo wakati mwingine wanatoa ahadi tupu bila kutoa hata senti moja,ili wafanikishe malengo yao.

Wakishafanikisha malengo yao,huwaoni tena,kama ulibahatika kupata nusu tasilimu,utabakia na nusu taslimu hivyohivyo,kama ulibahatika kupata robo taslimu utabakia na robo taslimu hivyohivyo,kama ulikuwa umeahidiwa utabaki unaugulia maumiumi ya kuahidiwa hivyohivyo,CCM hawana habari tena na wewe.

Madiwani wa CHADEMA wa shinyanga walishawahi kulizwa kwa mtindo huuhuu na CCM kwa kuahidiwa kupewa milioni 50,kama watakiacha na kujiunga CCM,baada ya kukimbia CHADEMA na kujiunga CCM hakuna milioni hamsini waliopewa na CCM zaidi ya kuvuna aibu walioipata.

Hata Zitto mwenyewe na ACT wazalendo siyo kwamba alilipwa taslimu kwa kila jambo ili audhofishe upinzani,mambo mengine ilikuwa ni taslimu,mengine nusu taslimu,robo na mengine zilikuwa ni ahadi.

Na mambo haya yalifanyika kipindiki kile cha utawa wa swaiba wake,sasa amekuja mtawala mwingine asiyekuwa na swaiba,Zitto atabakia na taslimu zilele alizopata chini ya utawala wa swaiba wake,atabakia na nusu taslimu zilezile,robo taslimu zilezile alizozipata enzi za utawala wa swaiba wake na ahadi alizozipata atabaki nazo vilevile kwa kuwa mtawala wa sasa hana muda wa kipuuzi kwa kutoa pesa kwa maswaiba.

Kwa hiyo Zitto itabidi ajipapase hapa na pale kujilipia madeni anayodaiwa kwa kuwa mtawala wa sasa hayuko tayari kutekeleza ahadi zilizoachwa na mtangulizi wake.
Rudi kwenye mada.
 
Ninachowapendea Nyumbu ni huwa hawakosi namna ya kujitetea. Ngoja waje.




Unajua wakaskazini wanapenda kutamba kwamba wamefunguka lakini mie naona kama wamelala usingizi mnono hawa chadema kila kukicha inabidi watete uongo walitoa nyuma lakini nyie hamfunguki,l .
 
PALE WANASIASA WETU WANAPOKOSA AKIBA YA MANENO.

Siasa za Tanzania ni Pasua Kichwa....

Waliwaamimisha umma kuwa chama cha ACT-Wazalendo kimeweza kumudu kufanya kampeni kwa kupewa pesa za bure na CCM....

Wakaongeza kuwa Mambo yote anayoyafanya Zitto ni kwakuwa kahongwa na CCM kuua upinzani.....

Leo nakutana na Headline ya gazeti la Tanzania Daima(Gazeti la Mbowe)wameandika "Zitto na ACT-Wazalendo kufilisiwa kwa madeni wanayodaiwa waliyokopa wakati wa uchaguzi"....

Hapa ndipo tunapozidi kuuvua nguo upinzani wa Tanzania kwa kuwa na ndimi mbili katika hoja ileile.....

Hii haina tofauti na zile hoja za kumtangaza Lowassa ni Fisadi halafu baadae tena ukaanza kumtetea wakati wewe ndiye muasisi wa kumchafua...

Haina tifauti na kusema kuwa CUF ni CCM B, Mbatia ni usalama wa taifa.......Mwisho mnashirikiana na watu ulioaminisha umma kuwa hawafai....

Lakini pamoja na makosa yote hayo bado watu wanawaamini.....

Endeleeni kuwaamini lkn waambieni wawe na "AKIBA YA MANENO"
01a389ac69cfa29d8766fcc1fcbd7cc8.jpg
Tatizo wanaCCM hamumuelewi raisi siasa mpaka 2020
 
Hiyo ndiyo kazi ya wanasiasa. Hukumbuki mahela ya escrow mkuu aliyepita alisemaje, huyu wa leo nae anasema tofauti

Hata huyu subiri muda wake ukiisha uje usikie ya kuanbiwa na yule atayefuata
 
Back
Top Bottom