Recent content by emmanuelsemwaiko

  1. emmanuelsemwaiko

    Nimepoteza msisimko wa mapenzi

    Njoo huku tutete
  2. emmanuelsemwaiko

    Zitto Kabwe: Wafanyabiashara wa korosho waipeleke Serikali Mahakamani

    Unajua watanzania tulishazoea kuonewa,wafanyabiashara walinunua korosho kwa wakulima kwa bei ya ulanguzi na kumnyonya mkulima ili waje wanufaike na bei nzuri ya serikali sasa serikali imeshtuka inataka lazima mkulima ndie anufaike na bei nzuri ya korosho,wewe kama lengo ilikuwa ni kupiga pesa...
  3. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    Dagaa kuanzia kilo mia shlng 9000 kwa kilo karibuni popote mzigo unaletewa
  4. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    Natuma soon mkuu
  5. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    Sawa mkuu natuma soon
  6. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    Yeah mkuu wazuri sana hao kiasi kidogo tu mnaweza kula familia nzima wanajaa wakipikwa
  7. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    @The icebreaker nipo Tanga mkuu ila popote pale mzigo unakuja
  8. emmanuelsemwaiko

    Natafuta soko la Dagaa

    Jamani naomba kujulishwa mahala penye soko zuri la Dagaa wa nyama wale wa baharini wanachemshwa kisha wakakaushwa vizuri,karibu +255719142151
  9. emmanuelsemwaiko

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Natafuta soko la dagaa nyama wale wa kuchemsha wazuri kutoka Tanga,mwenye utaalamu na soko anijuze tafadhali+255719142151
  10. emmanuelsemwaiko

    Kwanini mtu anafikiria kuwapa wananchi wake gari la kubeba maiti kabla ya gari la kubeba wagonjwa?

    Basi acha mdomo wewe wapelekee hivyo unavoona ndo vipaumbele vyao msituchoshe na maneno yenu bhana
  11. emmanuelsemwaiko

    Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Natafuta nafasi ya Ualimu wa Chuo cha Ualimu,elimu ni Bachelor degree of Education,with Arts Masomo ni History Kiswahili ingawa ninauwezo wa kufundisha masomo mengine mawasiliano +255744189384
  12. emmanuelsemwaiko

    Anayejua watu wa IT

    ±255719142151
  13. emmanuelsemwaiko

    Anayejua watu wa IT

    Namba zangu 0719142152
  14. emmanuelsemwaiko

    Anayejua watu wa IT

    Naomba mtu aniungabishe na madereva wa IT
Back
Top Bottom