Recent content by emmanuelmpini

  1. E

    Now dayz kwa uwelewa wangu watu hawakosi vyuo ila Mkopo shidaa vip wale profile zao NACTE zipo vle v

    ok sawa kaka nimekuelewa lakini kama uko selected but not confermed si unaweza kwenda tu chuoni ukaenda kuwaambia hukohuko
  2. E

    Now dayz kwa uwelewa wangu watu hawakosi vyuo ila Mkopo shidaa vip wale profile zao NACTE zipo vle v

    daa sasa ndugu kwa ambao tuko selected alafu chuo hakija conferm inakuwaje hpo na je mkopo si tunaweza kukosa jamani
  3. E

    kwa wale waliosahau password NACTE ina wahusu hii

    kama umepoteza pasw ingia kwenye e-mail yako utaikuta na kama uliifuta kwenye e-mail yako angalia kwenye trash utaikuta ndugu
  4. E

    Mnatukatisha tamaa NACTE

    sasa apo ndo shida nacte bdo hawajapeleka majina alafu vyuo kama udsm wamekaribia kufungua sijui tunafanyaje
  5. E

    Mnatukatisha tamaa NACTE

    chuo gani ulienda mkuu
  6. E

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    kama hamna hata mmoja aliyechaguliwa inawezekana chuo chenu hawajapeleka nacte list ya majina ya watu waliomaliza pamoja na matokeo yenu
  7. E

    Taarifa kwa Wanafunzi wote waliochaguliwa UDSM 2015/2016

    hata mie nimechaguliwa kupitia nacte lakini jina sijaona na kwenye profile nasubiri confermation kutoka chuoni na mda ndo unakaribia wa kuripoti chuon bro utatusaidiaje hpo
  8. E

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    watatoa tu mkuu hata mie nasubiria hpohpo tuwe na subra sema wanatakiwa watoe mapema maana chuo kinafunguliwa trh 31 mwez huu
  9. E

    Uthibitisho wa chuo

    bachelor of art with education mkuu ndo tunasubiri confermation
  10. E

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    utachaguliwa wala usiwe na shaka subir mpaka jnne
  11. E

    Uthibitisho wa chuo

    jaman hata mimi nimekuta selected udsm nasubir confermed toka chuo leo siku ya tatu kimya daaa hawa nacte ni shida.
  12. E

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    angalia kwenye profile yko
  13. E

    Mambo yashaanza kunoga NACTE!

    nami nimekuta selected udsm kaka but sijui hzo confimetion ni lini
Back
Top Bottom