Recent content by emmanuel turuya

  1. E

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Join instraction zote ninazo nione whatsap 0759409123
  2. E

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Mm ninazo join instruction zote kama unataka nicheki ww whatsap0759409123
  3. E

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Mm ninazo join instruction zote kama unataka nicheki ww whatsap0759409123
  4. E

    NACTE selection

    Humu kuna watu upeo wao wakufikil kitu nimdogo sana anaona anaongea kitu cha kujifraisha ila matokeo yake nimakubwa yanaweza kukugharimu jiangalie sana
  5. E

    Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

    Jaman kama mpo humu watu wa nacte tunaomba mtupe selection shule zitaanza kutuita bado hatujaitwa
  6. E

    Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

    Yaan mpaka leo jnne hayajatoka kea nn sasa
  7. E

    Website ya NACTE haifunguki

    Muache anazan hajulikan yupo wap utajibu kesi yakuiba matokeo
  8. E

    Website ya NACTE haifunguki

    Kwer zimetoka???? Au mnajisemea
  9. E

    Website ya NACTE haifunguki

    Jaman nacte lin wanatoa majina kwa walioomba maan tunachelewa
  10. E

    Kwenda technical college like DIT na A-Level wapi ni bora zaidi?

    ndugu zangu naombeni ushauri mm nimemaliza form four mwaka jana nina division 2 ya point 18 nimesoma science na nimefauru je naweza kujiunga na mambi ya electrical engineering
  11. E

    Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    eti form zakujiunga na electrical engineering hapo dit zimesha toka nahitaji kujiunga mwaka huu
  12. E

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    jaman mm nahitaji kujiunga na chuo cha gas hapo mtwara je nifanyeje ili nipate
  13. E

    Naomba ushauri usomaji wa kozi zinazohusiana na nishati

    nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufauru wangu n division two ya point 20 nikiwa na civics C history C kiswahili C english C biology C physics C chemia C na mathe B je naweza pata nafasi yakujiunga na mambo ya mafuta na gas
  14. E

    Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufaulu wangu ni div 2 ya point 20 history C. civics C biology C kiswahili C english B chemia C phycs C geography C na mathe C je naweza kupata nafasi yakujiunga na chuo hicho mambo ya gas
Back
Top Bottom