Humu kuna watu upeo wao wakufikil kitu nimdogo sana anaona anaongea kitu cha kujifraisha ila matokeo yake nimakubwa yanaweza kukugharimu jiangalie sana
ndugu zangu naombeni ushauri mm nimemaliza form four mwaka jana nina division 2 ya point 18 nimesoma science na nimefauru je naweza kujiunga na mambi ya electrical engineering
nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufauru wangu n division two ya point 20 nikiwa na civics C history C kiswahili C english C biology C physics C chemia C na mathe B je naweza pata nafasi yakujiunga na mambo ya mafuta na gas
mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka huu 2016 na ufaulu wangu ni div 2 ya point 20 history C. civics C biology C kiswahili C english B chemia C phycs C geography C na mathe C je naweza kupata nafasi yakujiunga na chuo hicho mambo ya gas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.