emmanuel turuya
Member
- Feb 19, 2016
- 18
- 2
ndugu zangu naombeni ushauri mm nimemaliza form four mwaka jana nina division 2 ya point 18 nimesoma science na nimefauru je naweza kujiunga na mambi ya electrical engineering
Embu andika mchanganuo wa somo moja mojandugu zangu naombeni ushauri mm nimemaliza form four mwaka jana nina division 2 ya point 18 nimesoma science na nimefauru je naweza kujiunga na mambi ya electrical engineering