Andrew Sosipeter
Senior Member
- May 29, 2016
- 189
- 33
Nacte selected candidate bado?
Oyooooooo nacte kitu teyali
Achaga mambo ya utan wew katka vitu kama hvi...Oyooooooo nacte kitu teyali
Yan mkuu sasa hvi ata profile zenyewe hazfunguk ni full majangaondoeni shaka vijana wote mtachaguliwa, cha msingi ni nyie kuwa makini na hzo profile zenu ili kama kuna mabadiliko yoyote muweze kuyarekebisha mapema
LeoSasa matokeo ya kidato cha 6 yametoka je walikuw wanasubiri yatoke alafu ndo watoe na selection za Chuo au
o
leo yanatoka??? Au rumours2