BOARDER
Member
- Sep 28, 2014
- 8
- 2
Mh. Kucy. Utaratibu ulishatolewa tokea mwaka jana. Mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi hivi sasa, mlengwa anatakiwa kuwa na Division I, II au III kwa matokeo ya mitihani ya mwaka 2013 kurudi nyuma. Kwa matokeo ya mwaka jana, mlengwa anatakiwa kuwa na Distinction, Merit au Credit na sio Pass.
Ualimu sio kimbilio la waliofeli mitihani hivi sasa.
Ualimu sio kimbilio la waliofeli mitihani hivi sasa.