Recent content by Emmanuel sammanga

  1. Emmanuel sammanga

    Msaada wa mfano wa business proposa

    Shukrani sana mheshimiwa!
  2. Emmanuel sammanga

    Msaada wa mfano wa business proposa

    Habari! Naomba msaada wa mfano wa business proposal ili inisaidie niandae wa biashara yangu wakuu
  3. Emmanuel sammanga

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Naomba msaada wakuu wangu jinsi ya kuandika funding proposal!
  4. Emmanuel sammanga

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Wakuu! Hivi Kama nimechaguliwa course ambayo sijaipenda naweza kubadilisha kabla sija confirm? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Emmanuel sammanga

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Wakuu! Hivi Kama nimechaguliwa course ambayo sijaipenda naweza kubadilisha kabla Sija confirm na nikachaguliwa tena kwa ile ninayoitaka Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Emmanuel sammanga

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Wakuu! Hivi Kama nimechaguliwa course ambayo sitaki nisome naweza kubadilisha kabla Sina confirm Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Emmanuel sammanga

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    Naomba kuuliza wakuu! Hivi Kama mtu umechaguliwa course ambayo huipendi inawezekana kubadilisha kabla sija confirm Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Emmanuel sammanga

    Nimekosa point moja kuapply degree nifanye nini?

    Kwa ufaulu wako km ulivyoelezea unaweza kuomba diploma na ukafanikiwa sema inategemea unachotaka kusomea!
  9. Emmanuel sammanga

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Big match!!! ila lazima chelsea tujitahidi kwa kutumia udhaifu ya beki ya city ktk kutengeneza nafac bila kusahau ubora wa kikosi cha gurdiola ktk kiungo na forward line!!! ila Chelsea kwa sasa tupo on fire kila idara;
  10. Emmanuel sammanga

    Mimi black na mke wangu black mtoto kazaliwa na nywele za kiarabu

    Huwa x lazima mtoto afanane na baba direct ila ni ishu ya kuvuta pumzi kwan mtoto bado mchanga
  11. Emmanuel sammanga

    Rais Magufuli amefanya ziara Gereza la Ukonga, apiga marufuku watu binafsi kuuza sare za Majeshi

    Adhabu inampasa lkn kusoma ni haki yake ya msingi, wengine wameingia hatiani bila kukusudia na unapomnyima aendeleze mission yake unategemea kutengeneza nn kwenye ubongo wake km x jambazi!!!!!!
  12. Emmanuel sammanga

    Kiama: Vocha za simu kukatwa kodi ya VAT kabla ya kuzitumia!

    Vizuri!!!!! ila na huduma muhimu ipatikane mpaka kijijini na wanafunzi wapate mikopo Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom