Ni maumbile siyo binaadamu tu ndiyo wenye wenza wa maisha kuna wanyama na hata ndege wenye wenza wa maisha yote kwa hiyo tunaoa na kuolewa kama hatua katika maisha watoto ni majaaliwa zamani ilikuwa vigumu sana kujua mwanaume ana matatizo ya uzazi kwa sababu kwa baadhi ya makabila ilikuwa ruksa...
Hayo yoote ni mafundisho ya Biblia na Quran . Na yote ya na tupeleka kwenye mwisho wa fikra zetu kwamba ukifikiri sana zaidi ya kilichoandikwa wameweka limit na kuiita DHAMBI .Lkn binadamu anafikiri na kuuliza na ndiyo mwanzo wa madhehebu mbalimbali kwa hiyo Mungu ametengenezwa na mwanadamu...
Mabadiliko ya tabia nchi ni kitu cha kawaida joto sana baridi sana nk. Yote haya yanatokea na dunia inazidi kuumbika maziwa makubwa yanakauka na misitu inakauka kwa upande mwingine baada ya hili joto zitakuja mvua nyingi na mabwawa mapya yatajitokeza mito mipya itatokea yoote haya ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.