Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,901
- 2,895
Ni kutokana na utendaji wako uliotukuka kwa kipindi kifupi sana cha mwaka mmoja ukiwa hapa kinondoni. kazi zako, juhudi, utendaji wako, uchapakazi wako ndio vimekupa kibali mbele za mungu na mbele ya Rais, kuwa unafaa kuwa mkulu wa dar.
Sasa ongeza bidii, makali yako yoooote yahamie kwenye cheo chako kipya. kila la kheri Mungu na akutangulie
Wapiga kelele kina kubenea na wengine kaeni mguu sawa usiempenda kaja mtanyooooooka tuuuuu......
Sasa ongeza bidii, makali yako yoooote yahamie kwenye cheo chako kipya. kila la kheri Mungu na akutangulie
Wapiga kelele kina kubenea na wengine kaeni mguu sawa usiempenda kaja mtanyooooooka tuuuuu......