Recent content by Emmanuel mgonza

  1. Emmanuel mgonza

    Wana JF ushauri wenu utakuwa nuru ya maisha yangu

    Asee, mkuu pole Sana, Kwa maelezo yako wewe unaugonjwa wa hofu na ukosefu wa Imani. Apo Cha kukushauri, 1. Acha nyeto ni mbaya Sana iyo na ndo inayokujengea negative mindset, hofu na kutokujiamini. 2. Zingatia Sana ibada muombe Sana MUNGU maisha bado hayajaisha Aya unakosa vitu vizuri sanaaaa...
  2. Emmanuel mgonza

    Basi la Abood lapata ajali asubuhi hii Aprili 23, 2023, Dereva akimbia

    Mungu awawezeshe wote wawe salama🙏🙏🙏🙏
  3. Emmanuel mgonza

    Soma unaweza jifunza kitu: Jinsi graduate nilivyopoteza 1.8M niliyoitafuta kwa jasho

    . Pole Sanaa mtumzima apo kikubwa simama na uendelee kupambana Tena. Iyo life lesson pambana muda bado unao kikubwa uzima
  4. Emmanuel mgonza

    Naomba kujuzwa namna ya kuingiza pesa kupitia Mitandao (Online)

    Tafuta mtaji uanze ata kubet online Kama option ya pembeni. Ila forex ipo vizuri sanaaaa but unahitaji muda mrefu kijifunza, kuielewa na kupigwa ela ila ukisha elewa ndo umshukuru piece maker.
  5. Emmanuel mgonza

    Big Red Boots, viatu vilivyotrend mtandaoni bei yake imefikia Tsh. Milioni 3.9

    Soon watu wataanza tembea pekupeku kwa kupaka rangi miguu walisema fashion
  6. Emmanuel mgonza

    Nina mtaji wa milioni 2 nifanye biashara gani ili nipate faida?

    Kwa ushauri fanya biashara ya mgahawa apo SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE chakula kinatoka Sana maana kwa hicho chuo bado uhitaji wa chakula kwa wanachuo ni mkubwa kikubwa 1: Fanya huduma yako kuwa tofauti na migahawa mingine. 2: Unaweza fanya ata delivery kwenye colleges ambazo zipo apo...
  7. Emmanuel mgonza

    Raila Odinga: Polisi wa Tanzania kama Ulaya. Adai wanaweza kusubiri umalize kazi zako ndio wakukamate

    Sidhani hiyo Kama ni sababu kubwa ila nadhani hapo Kuna shida sehemu.
  8. Emmanuel mgonza

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Na kwenye top ranking za maeneo yanayoingiza mapato makubwa ya serikali mafinga ipo huwezi linganisha na kahama
Back
Top Bottom