Asee, mkuu pole Sana,
Kwa maelezo yako wewe unaugonjwa wa hofu na ukosefu wa Imani. Apo Cha kukushauri,
1. Acha nyeto ni mbaya Sana iyo na ndo inayokujengea negative mindset, hofu na kutokujiamini.
2. Zingatia Sana ibada muombe Sana MUNGU maisha bado hayajaisha Aya unakosa vitu vizuri sanaaaa...
Tafuta mtaji uanze ata kubet online Kama option ya pembeni. Ila forex ipo vizuri sanaaaa but unahitaji muda mrefu kijifunza, kuielewa na kupigwa ela ila ukisha elewa ndo umshukuru piece maker.
Kwa ushauri fanya biashara ya mgahawa apo
SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE chakula kinatoka Sana maana kwa hicho chuo bado uhitaji wa chakula kwa wanachuo ni mkubwa kikubwa
1: Fanya huduma yako kuwa tofauti na migahawa mingine.
2: Unaweza fanya ata delivery kwenye colleges ambazo zipo apo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.