Big Red Boots, viatu vilivyotrend mtandaoni bei yake imefikia Tsh. Milioni 3.9

657,000, bora hiyo hela nikale malaya.
Nimepita huko fb kwenye magroup yangu ya biashara nikakuta haya madumu yanauzwa,

Yalianzia huko NY na kule yanauzwa 2.3M, wabongo wameiga haya nahisi yanatengenezwa kama yebo kwa 630k..

Wanaita Big Reb Boots,
Fashion zitatuua vijana, kuna jamaa akasema anataka ma 3 ya rangi tofauti tofauti, Sasa ushaambiwa ni Red boots unataka rangi nyingne tena???View attachment 2577063
 
Tusingeiga na kuboresha nadhani mataifa mengine yangekuwa yanatemeba Peku....

To each his/her own.....
 
Back
Top Bottom