kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,764
- 3,940
Kiatu Cha mwizi hiko
Jeans nyekundu,na hivyo viatu,ata ukiwa Mbezi mtu Yuko chalinze umamuonaMbona vizuri tu, hasa mtu akivaa na jeans nyekundu anatokelezea kama wa mamtoni
Jeanna nyekundu,na hivyo viatu,ata ukiwa Mbezi mtu Yuko chalinze umamuona
Ndio vizuri mnatambuana kwa urahisiJeanna nyekundu,na hivyo viatu,ata ukiwa Mbezi mtu Yuko chalinze umamuona
mkuu sasa mbona unakua mkali nakati mimi hapo nimepiga tuu screenshot?Narung'ombe sio Nalung'ombe.L na R,kwa nini mnashindwa kutofautisha?L mnaitaja R na R mnaitaja L.
Ha ha haaaa hivi kumbe Kuna jinsi nyekunduJeans nyekundu,na hivyo viatu,ata ukiwa Mbezi mtu Yuko chalinze umamuona
Kwa watu wa matukio hazifai,ukichepuka tu unanaswaNdio vizuri mnatambuana kwa urahisi
Zipo aisee,Ila Mimi siwezi vaa aiseeHa ha haaaa hivi kumbe Kuna jinsi nyekundu
Nimepita huko fb kwenye magroup yangu ya biashara nikakuta haya madumu yanauzwa,
Yalianzia huko NY na kule yanauzwa 2.3M, wabongo wameiga haya nahisi yanatengenezwa kama yebo kwa 630k..
Wanaita Big Reb Boots,
Fashion zitatuua vijana, kuna jamaa akasema anataka ma 3 ya rangi tofauti tofauti, Sasa ushaambiwa ni Red boots unataka rangi nyingne tena???View attachment 2577063
Lakini why uchepuke, bakini njia kuuKwa watu wa matukio hazifai,ukichepuka tu unanaswa
Yani viatu vyekundu alafu avae na jeans 👖 nyekundu? Akiwa anakuja kutokea kwa mbali Si atakuwa Kama praizi!!?Mbona vizuri tu, hasa mtu akivaa na jeans nyekundu anatokelezea kama wa mamtoni
Hujui fasheni wewe itakuaYani viatu vyekundu alafu avae na jeans 👖 nyekundu? Akiwa anakuja kutokea kwa mbali Si atakuwa Kama praizi!!?
Nakubali mkuu shida akivaa mtu maarufu Kama diamondDiamond akiyaona tumekwisha