Mkuu upo sawa kabisa mimi baada ya kumaliza ujenzi siku ya kuhamia tulikuta kinyesi kibichi sebuleni nailihali milango na madirisha vikiwa vimefungwa wajuzi wa mambo wakaniambia hilo nibalaa tusiingie wala kukitoa mpaka tupate mtaalam wakimaanisha mganga lakini badala yake nilitafuta wachungaji...
Hawa jamaa kwa sasa wamekua tatizo mimi tarehe 12/7 nilihamisha pesa kutoka mpesa kwenda ac ya bank uhamisho ukakamilika na pesa wakanikata tarehe 16/7 wakazichukua tena hizo pesa kiasi cha sh.330000 kwangu hazikurudi na bank hazipo
Kumfukuza mtumishi wa umma kwa kosa la dereva wa basi itakua sio sahihi dawa nikumfungia dereva husika leseni yake kwa angalau miaka isiyopungua sita ili arudi shambani akaendeshe jembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.