iCode
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 762
- 446
Wakuu nina imani kuwa mu wazima kiafya..
Katika safari zangu za hapa na pale nimekutana na hali ngumu sana.. Nimekuja Mwanza kumleta mdogo wangu shule...
Fedha zangu nilihamishia M-Pesa for easy access. Baada ya kumaliza issues ziluzonileta jioni hii nilienda kutoa pesa M-Pesa ili nikate tiketi ya kurudi Arusha.... Nilipofika kwa Wakala nikatajiwa namba ambayo baadae jina lililokuja alisema sio lake... Maana yake nilikosea namba ya wakala.. Nilipiga simu Vd wakaniambia nisubiri siku 7...
(alisisitiza mno)
Hapo nilichanganyikiwa kabisa....
Naombeni staff wa vodacom waliopo humu wanisaidie kwa sababu sina namna ya kuendelea kuishi Mwanza.. Nipo maeneo ya nyegezi tu hapa nimejawa na stress...
Msaada tafadhali..
Katika safari zangu za hapa na pale nimekutana na hali ngumu sana.. Nimekuja Mwanza kumleta mdogo wangu shule...
Fedha zangu nilihamishia M-Pesa for easy access. Baada ya kumaliza issues ziluzonileta jioni hii nilienda kutoa pesa M-Pesa ili nikate tiketi ya kurudi Arusha.... Nilipofika kwa Wakala nikatajiwa namba ambayo baadae jina lililokuja alisema sio lake... Maana yake nilikosea namba ya wakala.. Nilipiga simu Vd wakaniambia nisubiri siku 7...
(alisisitiza mno)
Hapo nilichanganyikiwa kabisa....
Naombeni staff wa vodacom waliopo humu wanisaidie kwa sababu sina namna ya kuendelea kuishi Mwanza.. Nipo maeneo ya nyegezi tu hapa nimejawa na stress...
Msaada tafadhali..