HERI YA MUSA KULIKO FILAUNI..
Najitahidi kutafakari hii kauli bila majibu..Je,hawa wahanga wa bomoabomoa wanamaanisha nini?
Musa ni nani? Na Filauni ni nani?
Nawasilisha..
Nimekutana na watu kama sikosei hawapungui 20 mpaka sasa waliokwishapiga kura mpaka muda huu..Neno 'NIMESHACHINJA TAYARI' Limetawala vinywani mwao.
Je,neno hili lina maana ya moja kwa moja likiwa linamaanisha mtu kupiga kura tayari au lina maana kuwa mtu huyu kampigia kura mtu fulani...
Kila siku nimejenga barabara
Kila siku unatuambia idadi ya kuku,mbwa,bata,samaki,ng'ombe,mbuzi na kondoo.
Kila siku unatuambia unawajua mafisadi ila huwataji.
TUMECHOKA! TUNATAKA UTUAMBIE MUSTAKABALI WA KATIBA YETU..HAYO YOTE UNAYOYASEMA PASIPO NA MABADILIKO YA KATBA WEWE BADO NI ZERO KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.