Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,493
- 7,417
Ndio bado ni too local,CHADEMA Mgombea Urais imeazima CCM, Makamu imeazima CUF, na baadhi ya ubunge imeazima CCM, kama bulaya, Mkumba n.k,amefanya jipya gani,bado AKILI YAKO inasubili kuwaziwa na MBOWE, alikuambia Lowasa fisadi,nyote mlikubali,Leo kakuambia sio fisadi umekubali,na hapo Halimashauri unajiona msomi,kuna uzi wako humu ule ulimnukuu Mbowe, kuna mdau alikuuliza je una la kueleza kwa sasa,ukasema unakaa pembeni unaangalia picha linaendaje,kwahiyo umekula matapishi yako,kama Nchi yetu Ina vijana kama nyinyi,Taifa Lina hasara