Way way back,
Hizi chuma kipindi tunakuwa zingine zilikuwa zinafichwa kwenye kabati. Mambo yetu yale pale, mezani zinawekwa za lufufu tu sasa ujichanganye ukaweke za mzee kwenye deki na umeme ukatike ibaki humo.
Tafuta majani ya mlonge uyatwange afu ukayakamue,ukimaliza mix na maji ya limao. afu uwe unapakaa ndani ya siku mbil au tatu utakuwa umeishatibu.
ukipona leta mlejesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.