Recent content by Emily magnus

  1. Emily magnus

    Napendekeza katika ndoa kuwe na 50/50 kama kupika na sisi wanaume tuwe tunapika

    Kazi za kifamilia zipo, za mume zipo, za mke zipo na za watoto zipo. i. Chakula mume atafute, mke apike. ii. Mavazi, mume anunue mke avalishe.(ila afue kwanza ii. Mtoto, MUME TIA MIMBA, MKE AZAE."apa mume kutunza mama na mtoto (kabla na baada ya kuzaliwa) unahusika. Hehee Yapo...
  2. Emily magnus

    Hodi! Hodi!

    kwan jina halioneshi jinsia¿
  3. Emily magnus

    Hodi! Hodi!

    pamoja mkuu
  4. Emily magnus

    Hodi! Hodi!

    dada angu unazingua ngoja nikuwee kwa avatar
  5. Emily magnus

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Nimesoma koment karibia zote, nikagundua mnajibu kitu msichokijua. Yaani hapa ni sawa mtu ameenda maeneo fulani na kusema "mnasema mbuyu(mti) upo twende mkanioneshe" anafosi aoneshwe wakati hajaeleza/hajaelezwa mbuyu ni nini. Hapa labda ungekuja na kuuliza "uchawi ni nini?" ukielezwa uchawi ni...
  6. Emily magnus

    Hodi! Hodi!

    dah! Naona JF nimepata rafiki ninayefanana naye... Mi mwenyewe baba yangu yuko anacheza na malaika huko mbinguni (R.I.P Our dads)
  7. Emily magnus

    Huu ni ugonjwa gani na unatibiwa vipi/na dawa gani?

    Habari za muda huu madaktari.... Nina ng'ombe 2 zinaumwa, ila sijui nini tatizo. Wa kwanza jike. Dalili alizonazo ni kutoshiba vizuri(tumbo halijai), ila anakula kuanzia asubuhi(saa 3 au saa 4) mpaka jioni. Na pia, akiwa porini anapenda kulala au kusimama sehemu kwa muda mrefu(nikama...
  8. Emily magnus

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    Nimefiria sana nikagundua MUNGU. Ila dini na vitabu vyake, ukichanganua vizuri, utajua kuna mambo mengi hayaeleweki(dots haziunganishiki). Nilichogundua kitu cha kufanya nikuishi vizuri na jamii.
  9. Emily magnus

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    jamii kwa asilimia kubwa inaamini shetani yupo kwa sababu mtu akiua ataambiwa "we ni shetani, una roho ya kishetani/ana roho ya kishetani"
  10. Emily magnus

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    "shetani anashawishi kutenda dhambi", "MUNGU anakataza kutenda dhambi", "ukitenda dhambi MUNGU atakuadhibu". Swali: Inamaana MUNGU hajui kama shetani yupo na anashawishi kutenda dhambi? Jibu:Anajua. Kwa sababu hata YESU alitokewa na nyoka(shetani) kumjaribu. Swali:Sasa kwanini tukitenda dhambi...
  11. Emily magnus

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    Nikama nafumbuka macho. Mungu naamini yupo, ila shetani sina uhakika kama yupo. Maana utaambiwa MUNGU anapenda mema, ukifanya kitendo kisichokubalika na jamii, utaambiwa we ni shetani au una shetani. Inamaana MUNGU hamuoini shetani?
  12. Emily magnus

    Wafikishwa mahakamani kwa kudaiwa kutoa taarifa za uongo kuwa wameibiwa nyeti

    Hivi hili jambo ni uzushi au uhakika?
Back
Top Bottom