Kazi za kifamilia zipo, za mume zipo, za mke zipo na za watoto zipo.
i. Chakula mume atafute, mke apike.
ii. Mavazi, mume anunue mke avalishe.(ila afue kwanza
ii. Mtoto, MUME TIA MIMBA, MKE AZAE."apa mume kutunza mama na mtoto (kabla na baada ya kuzaliwa) unahusika. Hehee
Yapo...
Nimesoma koment karibia zote, nikagundua mnajibu kitu msichokijua. Yaani hapa ni sawa mtu ameenda maeneo fulani na kusema "mnasema mbuyu(mti) upo twende mkanioneshe" anafosi aoneshwe wakati hajaeleza/hajaelezwa mbuyu ni nini. Hapa labda ungekuja na kuuliza "uchawi ni nini?" ukielezwa uchawi ni...
Habari za muda huu madaktari....
Nina ng'ombe 2 zinaumwa, ila sijui nini tatizo.
Wa kwanza jike. Dalili alizonazo ni kutoshiba vizuri(tumbo halijai), ila anakula kuanzia asubuhi(saa 3 au saa 4) mpaka jioni. Na pia, akiwa porini anapenda kulala au kusimama sehemu kwa muda mrefu(nikama...
Nimefiria sana nikagundua MUNGU. Ila dini na vitabu vyake, ukichanganua vizuri, utajua kuna mambo mengi hayaeleweki(dots haziunganishiki). Nilichogundua kitu cha kufanya nikuishi vizuri na jamii.
"shetani anashawishi kutenda dhambi", "MUNGU anakataza kutenda dhambi", "ukitenda dhambi MUNGU atakuadhibu". Swali: Inamaana MUNGU hajui kama shetani yupo na anashawishi kutenda dhambi? Jibu:Anajua. Kwa sababu hata YESU alitokewa na nyoka(shetani) kumjaribu. Swali:Sasa kwanini tukitenda dhambi...
Nikama nafumbuka macho. Mungu naamini yupo, ila shetani sina uhakika kama yupo. Maana utaambiwa MUNGU anapenda mema, ukifanya kitendo kisichokubalika na jamii, utaambiwa we ni shetani au una shetani. Inamaana MUNGU hamuoini shetani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.