La 7b mnaingiaaaHodi Hodi Twaingiaaa
Dada ake mbona umefika mbali? šUmalaya tu, huyu ni kijana mwenzioš
Naona umeandika kimatashtiti sana mahaba mengišDada ake mbona umefika mbali? š
Kumbe "K" sikuiweka! Hiyo "umenipoKeaa"UmeniPOEAA ndio kufanya nini?
huyu simfahamu, ila nambie wa wapi.Derick
Magnus
Kama n wakike, Njoo pm nikupe muongozo wa JF šShkamooni wakuu! Nawasalimia me ni mgeni humu, nimejiunga juzi, ila JF nimeijua tangu mwaka jana. Mnikaribishe tafadhali.
kijana nazani wewe ndo umemaliza form 4 mwaka jana ?Seran... Derick yupiĀæ nina kaka mtoto bamkubwa. Ila hatujuani namjua kwa jina tu.
17Una umri gani
Inasikitisha sanaKama n wakike, Njoo pm nikupe muongozo wa JF
Ahsante, nishakaribia kiongozi.Karibu
Umejuaje?kijana nazani wewe ndo umemaliza form 4 mwaka jana ?
jibu ndio, au hapana kisha nitakwambia nimejuajeUmejuaje?
Hapana.jibu ndio, au hapana kisha nitakwambia nimejuaje