Recent content by Emerson Dm97c

  1. E

    Kama Waarabu wanawafukuza Waisraeli watoke Palestina na sisi Waafrika tuwatimue Waarabu kwenye nchi zetu?

    Haswaa, naona ktk africa hii watu wanaoongoza kujikataa wao kama weusi na asili zao ni WAZANZIBAR , wanatamani wahamie uarabuni jumla au waitwe waarabu na wanaona ndung zao ni hao waarabu, Eeh MUNGU africa imelogwa na nani?
  2. E

    Mshtuko: Kwanini Waafrika wameuvaa mgogoro wa Israel na Palestina kuliko matatizo ya nchi zao?

    Denis mpangazi ,alisema Africa tulisharogwa milele, DINI ndo usiseme tumeathirika mpaka hatujitmbui,africa ni kama walking dead
  3. E

    Kama Waarabu wanawafukuza Waisraeli watoke Palestina na sisi Waafrika tuwatimue Waarabu kwenye nchi zetu?

    Kuanzia misri mpaka huko morroco waliishi waafrika babu zetu, na ni Mali ya mtu mweusi hao waarabu warivamia kwa nguvu na kutesa waafrika, misri ilikuwa ya watu weusi mpaka huyo nabii musa alikuwa mweusi na mafirauni wote , we unae pinga hujui lolote mnajua kuabudu tu, lakin historia ya mweusi...
  4. E

    Nini chanzo cha umasikini wa watanganyika ni Serikali, CCM au Mungu?

    Selikali ikiamua tuwe na maisha bora inaweza asilimia 100, lakin ndo kwanza haina habari
  5. E

    Mbinu za kupata mke au mume

    Daah ndo nipo kwenye msoto huu, na nina hofu juu dada zetu maana wao wanawaza pesa tu ,kuumpata aliye tayali kwaajiri ya kujenga familiar ni mtihani kweli ,eeh MUNGU niongozee mja wako
  6. E

    Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

    Mi naona kaongea kama mzazi, tutajirekebisha
  7. E

    Jiajiri mwenyewe kwa kufanya kazi ya ‘kubadilisha upepo’ wa matukio mbalimbali, niamini lazima utoboe!

    You are Unique conscious bro, na hapa watakuelewa wachache san, but its very reflective , in logical wazo lako lipo kwa upana sana, na si rahisi inahitaji power and movement ya ki harakatI
  8. E

    Dar es salaam hakuna wanawake wa kuolewa, wakiolewa huachika tu

    Sawa ,lakin kuna makanisa makubwa hapa dar yamejaa wanawake kuombewa ili wapate kuolewa ,sasa sielewi vzuri
  9. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndo ivyo, uhalisia; kwani we unauhakika
  10. E

    Usimwamin mwanamke wko hata kama ameishika dini maumivu niliopata leo sitayasahau kamwe

    Hata sijasoma story yak kaka, ila kichwa cha habari nimeelewa tosha
  11. E

    Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

    No wew hukuwa mkristo 99.1%
  12. E

    Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

    Mmmh ivyi unafiki kwa nn waarabu wamefanikiwa kumthibiti mwanamke na still maisha yao yako bora
Back
Top Bottom