Mume wangu mpz ambaye cjamtegemea nilikuwa nimetoka kidogo kurud bila kumtaarifu ninana mkuta mcchana ambaye tupo jiran namkuta yupo na mume wangu na kukuta kanga ya kuogea ndio wamefutia uchafu wao naomba ushaur nifanye nn maana cjawahi kumsaliti roho inaniuma nifanyaje
Waandishi wa habari nao wamelala sana. Wao ndio wangechukua Jukumu kubwa sana la kuandika kwa Maandishi makubwa kurasa za mbele ni "kifungu gani cha sheria kinamruhusu mtu wa staili hii kubaki kwenye uongozi na ni kifungu gani cha sheria kina mhukumu mtu huyu"
Wakifanya ivyo watakuwa...
Dats gud nmependa ufafanuzi wako, but umesema "Mungu mmoja pekee aliyeumba mbingu na ardhi hana watoto,wajomba wala wajukuu en hajawahi kuzaa...[emoji15] Men so umezaliwa na nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.