Hii dhambi haitawaacha UKAWA Tanzania

Hii dhambi haitawaacha UKAWA Tanzania

Kwenye safari hii mi bado kitambo kidogo tu nishuke nimechoshwa na safari isiyo na uhakika wa kufika
 
Matokeo yake sasa hela hakuna elimu bure imekua mwiba
WEWE ACHA BANGI NA CHUKI ZA KIPUUUZI...Tell us hapa jukwaani ni WAPI watoto washule kuanzia primary mpaka secondary wanalipishwa ada??????....USITULETEE NYUZI ZA HISIA HAPA baada ya kuvuta bangi...weka ushaidi wa mahali ambapo afda zinalipishwa......
 
WEWE ACHA BANGI NA CHUKI ZA KIPUUUZI...Tell us hapa jukwaani ni WAPI watoto washule kuanzia primary mpaka secondary wanalipishwa ada??????....USITULETEE NYUZI ZA HISIA HAPA baada ya kuvuta bangi...weka ushaidi wa mahali ambapo afda zinalipishwa......
ushaidi nitapeleka mahakamani na masharti ni pale bashite nae atakapotangulia maakamani bangi sio ishu sana kama wewe umeacha ni kimpango wako usituletee povu la omo wakati mahala kibao watu wanalipia mavitu kibao heri ada ingerudi mxiuuuuuu
 
ushaidi nitapeleka mahakamani na masharti ni pale bashite nae atakapotangulia maakamani bangi sio ishu sana kama wewe umeacha ni kimpango wako usituletee povu la omo wakati mahala kibao watu wanalipia mavitu kibao heri ada ingerudi mxiuuuuuu
WEEE BANGI KWELI...sasa unaleta vipi pumba humu hauna hata USHAIDI?????unakimbialia habari za bashite na uzi wako zinahusiana vipi?????......AVATAR YAKO INAONESHA KABSA HAUVUTAJI BANGI BALI UNAKUNYWA BANGI
 
Ushamba wa baba yake na Jesica ndio ulimfanya aingie kichwa kichwa kwenye kumi na nane za mtoto wa mjini Edo Lowasa. Elimu inakufa kifo cha mende. Hali ni mbaya sana. Nadhani hata mwenyewe anajuta kuzuia michango toka kwa wazazi/jamii.
 
HII MISEMO HUWA NI YA WATOTO WAKIKE na wewe ni mwanaume...vipi mwenzetu tushakupoteza??????
kuna waliopotea na si lazima waseme hiyo misemo kama wewe ambae akili yako inakupelekea kufikiri huo ujinga
 
Tayari tulikuwa tume ona vyanzo vya pesa, na mahesabu twishapiga sasa hawa wenzetu kutaka kujiona na wao bora wakakurupuka bila kujua sisi ni mipango ipi tulikuwa nayo, sasa vichwa vinawauma na ahadi yao isiyotekelezeka ya 50m kila kijiji.
Na 2020 tutasema umeme na maji bure.
Na hiyo waje waikurupukie sasa.
Elimu bure sasa ni ado ado.eeh!
 
Ushamba wa baba yake na Jesica ndio ulimfanya aingie kichwa kichwa kwenye kumi na nane za mtoto wa mjini Edo Lowasa. Elimu inakufa kifo cha mende. Hali ni mbaya sana. Nadhani hata mwenyewe anajuta kuzuia michango toka kwa wazazi/jamii.
michango irejeshwe tu wala hatutamfikiria vibaya na 2020 tutampa
 
Inatumika 18billions tu kwa mwezi kwa ajili ya elimu bure wakati wastani wa mapato ya mwezi ni TRA ni 1.2trillion, je kwa akili yako hiyo hela ni ya kusumbua kichwa ?
Mjomba sasa hivi wanakusanya b 4 tu majigambo kwishnes eti sisi tajiri hatutaki msaada pumbafffffff
 
Aisee pamoja na kuwafanya askari wa barabarani kama TRA lakini bado hali mbaya,
Hapo ndipo utakumbuka ile story ya chanzo cha chura kuwa na ngozi ile baada ya kusikia story nusu akadandia na kujifanya kaelewa kumbe maelezo hayajaisha. El alikuwa hajamalizia maelezo juu ya ada bure
 
NAona vilaza na wazungusha mikono mnapeana faraja baada ya kukosa hoja za kuikosoa serikali,Rejeeni kusoma ilani ya CCM ,kuhusu elimu bure halafu mrudi hapa jamvini..CCM walikuwa na ilani wakati chadema tuliambiwa tukasome whatsapp
 
Back
Top Bottom